Hizo chanjo ndio zitakuja kutuua kabisa, zina long term effects madhara yake ni ya baadae na tena ni mkubwa sana, dunia ya sasa kama sio mwerevu maisha yako yanakua hatarini sana, wanatengeza magonjwa yanayotujaza hofu then wanakuja kutumaliza na chanjo zao, maana ukisikia ugonjwa km huo alafu uambiwe Kuna chanjo yake lazima ukaifakamie Bila kujua madhara yake ni mkubwa zaidi..