Human Rights Watch: Freedoms in Tanzania threatened ahead of elections as authorities crack down on Opposition Parties, Rights Groups, Media

Human Rights Watch: Freedoms in Tanzania threatened ahead of elections as authorities crack down on Opposition Parties, Rights Groups, Media

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Human Rights Watch, shirikika la kimataifa la kutetea haki za kibinadamu, limeiangazia Tz kuhusu ukiukwaji wa haki za kibinadamu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba.

HRW inadai kwamba kwa muda wa miezi mitatu iliyopita wanachama wa upinzani 17 na watanzania wengine waliokashifu serikali wamekamatwa.

Huku NGO moja ya kutetea haki za kibinadamu ikipigwa marufuku na nyingine ikipokonywa leseni. Kiongozi wa waislamu Issa Ponda naye alikamatwa na kutupwa selo kwa siku tisa bila kufikishwa mahakamani, baada ya kutoa 'press confrence' akidai uchaguzi huru na wa haki.

Huku Kwanza Tv(online) ikifungwa kwasababu za kisiasa. Ila kilinichonishangaza zaidi ni kwamba wahariri wa magazeti walitishiwa na kuonywa kuhusu kuripoti habari zinazohusu kampeni za wagombea urais wa upinzani, Tundu Lissu na Bernard Membe. Majirani mnalo na inasikitisha sana kwamba mnapitia unyanyasaji wote huu na maumivu haya yote kimya kimya.

Tanzania: Freedoms Threatened Ahead of Elections
 
Kwahivyo ni uongo mtupu na kama kawa 'mabeberu' yanaionea kijicho dona kantrii yenu? Haya basi, nimeelewa.
Pilipili hauli wewe inakuwashia nn....mnadhan sisi nyie mnaopangiwa hadi nchi za kussuport mpate misaada
 
Kwahivyo ni uongo mtupu na kama kawa 'mabeberu' yanaionea kijicho dona kantrii yenu? Haya basi, nimeelewa.
Pilipili hauli wewe inakuwashia nn....mnadhan sisi nyie mnaopangiwa hadi nchi za kussuport mpate misaada
 
Pilipili hauli wewe inakuwashia nn....mnadhan sisi nyie mnaopangiwa hadi nchi za kussuport mpate misaada
Aliesema inaniwasha ni nani? Pilipili kwetu huwa tunaila hadi na chai tena chee kabisa.
 
Hakuna sehemu yeyote ile kwenye ripoti yao ambapo HRW wameilinganisha Kenya na Tz. Uchaguzi mkuu nchini Kenya sio wa mwaka huu ni wa mwaka wa 2022 na uchaguzi uliopita ulikuwa mwaka wa 2017.
Human rights hazipo kwenye uchaguzi pekee. Kenya has got the worst human right records in EA, at same level with Burundi followed by Rwanda
 
Hakuna sehemu yeyote ile kwenye ripoti yao ambapo HRW wameilinganisha Kenya na Tz. Uchaguzi mkuu nchini Kenya sio wa mwaka huu ni wa mwaka wa 2022 na uchaguzi uliopita ulikuwa mwaka wa 2017.
Tatizo lenu mnaanzisha chokochoko bila kujipanga mwisho mnaomba msamaha. Never touch human right issues because Kenya is very dirty.
 
Zilipendwa hizo wewe mbumbumbu wa mambo ya TZ na Mabeberu!
 
Human rights hazipo kwenye uchaguzi pekee. Kenya has got the worst human right records in EA, at same level with Burundi followed by Rwanda
Kumbe nchini Tz kisheria kuna kosa ambalo linaitwa 'kukosa uzalendo'? Sikujua! [emoji15] ..."On July 6, the. Communications Authority banned Kwanza TV, an online television station, for 11 months because of its Instagram post reporting on a Covid-19 health alert by the
United States Embassy about Tanzania. The authority’s summons letter to Kwanza TV accused the station of being “unpatriotic.”
 
Kilichofanya Sheikh Issa Ponda akamatwe, kudai tume huru ya uchaguzi na uchaguzi huru na wa haki, AKA 'uchochezi'.
Kama mnavyowasumbua hawa masenator na kuwabambikia kesi za uchochezi kwa kumsema mama Ngina, huko kwenu kukoje, yaani kumsema mtu binafsi inageukaje kwa ni uchochezi wa Taifa zima?
 
Hakuna journalist Tanzania atachapwa kama mtoto mdogo, ikitokea basi huyo polisi atakiona cha moto. Kenya ni nchi ya hovyo Sana, nini hii?

 
Hakuna journalist Tanzania atachapwa kama mtoto mdogo, ikitokea basi huyo polisi atakiona cha moto. Kenya ni nchi ya hovyo Sana, nini hii?

Kama mnavyowasumbua hawa masenator na kuwabambikia kesi za uchochezi kwa kumsema mama Ngina, huko kwenu kukoje, yaani kumsema mtu binafsi inageukaje kwa ni uchochezi wa Taifa zima?

Utakaponiona hata siku moja nikiunga mkono ukikwaji wa haki za binadamu au dhulma za polisi dhidi ya raia nilaani. Iwe ni nchini Kenya kwa majirani au hata nje ya bara la Afrika. Unaona sifa kuamka asubuhi na mapema kuenda kupiga kura kwenye uchaguzi ambao refa amevalia jezi ya timu ambayo ipo uwanjani? Si huwa mnasema kwamba mzee wenu yupo ngangari na kwamba hakuna atakayemtisha kwenye uchaguzi? Sasa ubabe wote huo ni wa nini basi?
 
Utakaponiona hata siku moja nikiunga mkono ukikwaji wa haki za binadamu au dhulma za polisi dhidi ya raia nilaani. Iwe ni nchini Kenya kwa majirani au hata nje ya bara la Afrika.
Lini ulifungua thread kukemea unyanyasaji, police brutality mnaofanyiwa na polisi hapo kenya?
 
pingli-nywee sisi tumejilipia pesa za uchaguzi huu100%, hizo ni kelele za chura tuu.

Tanzania ni nchi huru.
 
Back
Top Bottom