britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Kwani asipokuwa na suti itazuia nini nyinyi kukutana na kuongea? Kuvaa suti ni kasumba tu.Mheshimiwa Balozi nikipata nauli nakuja kukupa hi hapo ubalozini,
Andaa Suti kabisa tusalimiane ukiwa tumevaa suti , ingae Kama ya Makatibu katibu wakuu fulan hivi
Aisee wanajukwaa Karibuni Moscow tupate vodka
Britanicca
Huyu anamwambia polepole 'pdf' jipya lipo karibu na Ukatibu unanukia.Kwani asipokuwa na suti itazuia nini nyinyi kukutana na kuongea? Kuvaa suti ni kasumba tu.
Mbona Elon Musk anaingia Oval Office akiwa casual but smart
Okay. Huyu britanicca siyo wa kumfuatilia sana. Mwaka jana miezi fulani alituamimisha kuwa Paul Makonda amelishwa sumu na ameshakufa.Huyu anamwambia polepole 'pdf' jipya lipo karibu na Ukatibu unanukia.
HahahahahaOkay. Huyu britanicca siyo wa kumfuatilia sana. Mwaka jana miezi fulani alituamimisha kuwa Paul Makonda amelishwa sumu na ameshakufa.
Tukapoteza muda kushangilia, kumbe ilikuwa FEKERO
Hata yeye hulishwa matango pori🤣🤣Okay. Huyu britanicca siyo wa kumfuatilia sana. Mwaka jana miezi fulani alituamimisha kuwa Paul Makonda amelishwa sumu na ameshakufa.
Tukapoteza muda kushangilia, kumbe ilikuwa FEKERO
Wewe ni mpumbavu sana!Okay. Huyu britanicca siyo wa kumfuatilia sana. Mwaka jana miezi fulani alituamimisha kuwa Paul Makonda amelishwa sumu na ameshakufa.
Tukapoteza muda kushangilia, kumbe ilikuwa FEKERO
Msalimie sana Camarade Vlad, mwambie huku kwetu tunaunga mkono juhudi zake za kupinga hegemony ya mabeberu (wafanyabiashara ya utumwa na ukoloni)Aisee wanajukwaa Karibuni Moscow tupate vodka
Jamaa aliingizwa cha kike 😆😆Hata yeye hulishwa matango pori🤣🤣
Makonda alipewa sumu Tena na mboGa pale Arusha hii haina Kificho naye alisema kwamba amepewa sumu Mara Tatu ! So Hakika Chaka hakuna paleJamaa aliingizwa cha kike 😆😆