Wakiamua wanajichagulia tu.
1.Tumpe ajali
2.Apigwe sumu
3.Avamiwe na majambazi
4.Tuseme amejinyonga
Naongelea mambo ya huku Cuba nilipo.
Huyo jela inamuita soon, Kuna ufujaji mkubwa wa pesa za chama aliufanya, na ana tuhuma za utakatishaji fedha ( Money laundering)
HIZO Ni tetesi zenye ukweli 100%
Nilicho jifunza kwenye siasa zetu 2015 kupitia Lowasa,hamnaga adui wa kudumu usishangae Makonda akagombea jimbo kupitia chama cha upinzani kinacho mponda.Ni kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari Zaidi ukizingatia pia umri wake.
Akina Membe walifukuzwa kirahisi kwa sababu tayari uzee ulishakuwepo ndani yao.
Polepole bado ana nafasi ya kufanya makubwa na hivyo akiwa nje ya Chama na mfumo anaweza kuleta nguvu sana kwenye upinzani kwani anajua hata wizi wa kura ulivyofanyikka na mifumo yote dhaifu anaweza kuikabili against.
Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!
Umeandika utopolo, mfano masha alitoka ccm nae alikuwa mzee, slowslow anaijua ccm kuliko kina lowasa, kina nyalandu wengine wengi?Ni kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari Zaidi ukizingatia pia umri wake.
Akina Membe walifukuzwa kirahisi kwa sababu tayari uzee ulishakuwepo ndani yao.
Polepole bado ana nafasi ya kufanya makubwa na hivyo akiwa nje ya Chama na mfumo anaweza kuleta nguvu sana kwenye upinzani kwani anajua hata wizi wa kura ulivyofanyikka na mifumo yote dhaifu anaweza kuikabili against.
Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!
Kwakweli hakuna mwenye nguvu zaidi ya mwenyekiti wamemwacha tu arukeruke kama maharage aiveNi kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari Zaidi ukizingatia pia umri wake.
Akina Membe walifukuzwa kirahisi kwa sababu tayari uzee ulishakuwepo ndani yao.
Polepole bado ana nafasi ya kufanya makubwa na hivyo akiwa nje ya Chama na mfumo anaweza kuleta nguvu sana kwenye upinzani kwani anajua hata wizi wa kura ulivyofanyikka na mifumo yote dhaifu anaweza kuikabili against.
Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!
Kabisa kabisa!Nilicho jifunza kwenye siasa zetu 2015 kupitia Lowasa,hamnaga adui wa kudumu usishangae Makonda akagombea jimbo kupitia chama cha upinzani kinacho mponda.
Hana hatari yeyote huyo jamaa?...ni mbunge wa kawaida tuNi kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari zaidi ukizingatia pia umri wake.
Kwahiyo?Msigwa na Sugu wote ni wakinga!
Lowasa hakufukuzwa alihama mwenyewe! Membe ndiye alifukuzwa!CCM kama waliweza kumfukuza Lowasa watashindwa kwa polepole?
Kabisa kabisa! Neno la mwenye hekima kutoka kwa mwenye hekima!Mawazo ya kipumbavu toka kwa mpumbavu.
Huku Cuba hakuna mtu anaitwa Polepole.Rat race….
In the abundance of water a fool is thirsty…
si ule kwa urefu wa kamba yako Polepole anakusumbua nini…kaongea nini kibaya…
Duu we nj hatari. Uliyosemaga ndio yaliyotokeaNi kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari zaidi ukizingatia pia umri wake.
Akina Membe walifukuzwa kirahisi kwa sababu tayari uzee ulishakuwepo ndani yao.
Polepole bado ana nafasi ya kufanya makubwa na hivyo akiwa nje ya chama na mfumo anaweza kuleta nguvu sana kwenye upinzani kwani anajua hata wizi wa kura ulivyofanyikka na mifumo yote dhaifu anaweza kuikabili against.
Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!