Humphrey Polepole na bye bye Katiba Mpya

Humphrey Polepole na bye bye Katiba Mpya

amos eglan

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
310
Reaction score
463
Hatimaye Leo bwana Humphrey Polepole ndo ameyazika au ameyazima rasmi kile alichokiitaga yeye mwanaharakati wa kutetea katiba mpya baada ya kuteuliwa kuchukua nafasi ya ndg nape nnauye aliyekuwa katibu wa siasa na unezi wa Chama cha Mapinduzi.

Pole pole ni lazma aingie kwenye harakati mpya sasa ya kukinadi chama na propaganda Kama alivyokuwa ndg Nape Nnauye ambapo sasa hizo harakati za kudai katiba mpya sijui atazisemea wapi ndugu pole pole na sijui na yeye 2020 atakuja na goal la nini[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
nchi yetu inaelekea wapi...nahisi tunaelekea kwenye nchi ya chama kimoja
Subiri uone mchujo wa hao wajumbe 200 watakaoenguliwa NEC, watahakikisha wanabakiza cheerleaders watupu na barabara ya kurejea mfumo wa chama kimoja itakuwa imezinduliwa rasmi! Eh Mungu tenda Miujiza!!!
 
Watanzania kazi sana kukubali mabadiliko,polepole mwishoni wakati wa uchaguzi alidhihirisha njaa yake anahitaji madaraka fulani toka chama tawala sasa nafikiri kesha fanikiwa malengo yake RIP katiba mpya
 
Hatimaye Leo bwana Humphrey Polepole ndo ameyazika au ameyazima rasmi kile alichokiitaga yeye mwanaharakati wa kutetea katiba mpya baada ya kuteuliwa kuchukua nafasi ya ndg nape nnauye aliyekuwa katibu wa siasa na unezi wa Chama cha Mapinduzi.

Pole pole ni lazma aingie kwenye harakati mpya sasa ya kukinadi chama na propaganda Kama alivyokuwa ndg Nape Nnauye ambapo sasa hizo harakati za kudai katiba mpya sijui atazisemea wapi ndugu pole pole na sijui na yeye 2020 atakuja na goal la nini[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Watanzania kazi sana kukubali mabadiliko,polepole mwishoni wakati wa uchaguzi alidhihirisha njaa yake anahitaji madaraka fulani toka chama tawala sasa nafikiri kesha fanikiwa malengo yake RIP katiba mpya
Lakini kama tukiwa wakweli katiba mpya ni zaidi ya pole pole n the like
 
Unajua katika maisha unahitaj unafki ili ufike pale unapotaka...polepole alisema yeye mwanaharakati lakin 2015 nilimsikiliza sana midahalo yake akaonesha dhairi yupo upand upi
Bora mim Kyenekyaka nimebak na ccm yang bila uhanarakat wa kinafki
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
 
Back
Top Bottom