Japo nilikuwa na haraka jana sikumsikiliza sana, ila alikuwa anajenga hoja vizuri on Star Tv - than Mwingulu, anyway mimi bado sijaona sababu ya UKAWA kususa, I thought - wangewatumia watu kama hawa akina polepole "wakiwa nje ya bunge", and then wakati wa debate bungeni wawe wanatoa ufafanuzi wenye details kama hizi, badala ya njia waliyochukua, UKAWA wengi naona hawakujindaa kwa hoja instead walikimbilia mkenge wa mipasho na matokeo yake wamekimbilia hoja ya Intarahamwe eti CCM ni wengi, anyway tusubiri tuone movie