umenikumbusha kaka alikuwa label nyekundu kma sikosei!
Na wewe uwe objective ili tuwafagilie wote na Azania yenu!Huyu jamaa nilisoma naye O-level pale Azania secondary.
He was good tangu O-level.
Alikuwa kinara wa debates na alikuwa anajua kujenga hoja.
ndio vijana tujifunze kutoka kwake yale mazuri unayoyaona anayoyafanya kwa ufanisi
Pole pole alikuwa ni rebo nyeusi kaka.
Kama unakumbuka alikuwa pamoja na kiranja mmoja alikuwa mnoko sana baadae akapata div4 alikuwa anaitwa Nyakia.
Polepole yuko vizuri.NACHOHOFIA HAWA INTARAHAMWE WASIJE MNG'OA KUCHA!
Pole pole alikuwa ni rebo nyeusi kaka.
Kama unakumbuka alikuwa pamoja na kiranja mmoja alikuwa mnoko sana baadae akapata div4 alikuwa anaitwa Nyakia.
Umenikumbusha kaka alikuwa label nyekundu kma sikosei!
Zao la Azaboy huyo, Humphrey alikuwa mtaalam sana wa Debates na mara kadhaa alitunyanyua kidedea wana Azania katika BP national-wide debate Competitions zilizokuwa zinafanyika pale BP kurasini. Aliyemtangulia Humphrey alikuwa debator mwingine naye alikuwa Mahiri sana akiitwa Barwani Mshale.
Rudisheni debate clubs mashuleni jamani, Vijana wa leo wa chuo kikuu wanashindwa kujieleza na kujenga hoja kwa vitu simple kabisa!!!
Aisee na mimi ni Azaboy!!!
Hivi huyu ndugu Barwani mshale amepotelea wapi?Namkumbuka pia.
Hapo kwenye ren mkuu ni ANDREW KWAYU na sio HENRY.
'...In heaven of peace azania stand atease...'
Pole pole alikuwa ni rebo nyeusi kaka.
Kama unakumbuka alikuwa pamoja na kiranja mmoja alikuwa mnoko sana baadae akapata div4 alikuwa anaitwa Nyakia.