YuleBoy2024
Member
- Aug 23, 2024
- 21
- 52
YuleBoy hapa.......kuna post nimeweka kwenye forum naona imetupwa kapuni ......humu hadi ue maarufu ndio topic yako ionekane au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wwe baba 2ulia acha mbwembweYuleBoy hapa.......kuna post nimeweka kwenye forum naona imetupwa kapuni ......humu hadi ue maarufu ndio topic yako ionekane au?
Alafu humu sio lazima uanzishe mada muda mwjngine kuwa msomaji.YuleBoy hapa.......kuna post nimeweka kwenye forum naona imetupwa kapuni ......humu hadi ue maarufu ndio topic yako ionekane au?
Chama cha kulike mwenyekiti wao ni raraa reree na mwenyekiti msaidizi ni min -meUshapata umaarufu tayari .....shusha nyuzi hizo wakizitupa tena jiunge kwenye chama Cha kucomment na kulike
Upo wap...Chama cha kulike mwenyekiti wao ni raraa reree na mwenyekiti msaidizi ni min -me
acheni kisirani basi mazeeTULISHALIONA NA KAMA MADA YAKO INAONYESHA KUWA INAKOSA NGUVU UFUTWA NA KUPEWA MTU MWENGINE
hawa ndio wale ambao hakuna kustaafu wanafia kazini ?Chama cha kulike mwenyekiti wao ni raraa reree na mwenyekiti msaidizi ni min -me
Nakubali mwanangu kula pepsi kwa mangi nalipajf ina vilaza huenda wenye akili ni mimi na wewe tuu
asante babuuu....ebwana kuna siku keyboard ime type error nikaandika baby badala ya babu dahh noma sanaKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Poa mjukuu wetu.asante babuuu....ebwana kuna siku keyboard ime type error nikaandika baby badala ya babu dahh noma sana