Anzia chini kwenda juu...ranking unaangalieje
[emoji23]sio woga bro, mnajadiliana kwa kujuana tena kuna had wapenz humu
Ha ha haa daby chiz kweliNitaachaje kwa mfano... wewe wangu ati afe mbowe afe bashite afe gwajima
[emoji23][emoji23]kwere ainaWakuu nimechoka kinoma meet you next time.
Nakuona nakuona !Hahaha kesho siku ya kazi bro. Fursa zilikuwa Jana.
Nshasema mnyonge tuwe na amaniAnataka kesi na the untouchable..
HahaaaAnyongwe tuu
Watoto wanazaliwa kila siku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38]Wanatuonea bby eti mimi soudy brown wewe kwisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
hujaenda kupumnzika tuHaya nenda ukirudi
una uhakika lakini?????? kwa maana kun mtu sijui anaitwa trasend amemaind hapo sijui umemtaja dem wakeUsijali mimi ndo mzee mkavu ojilino
Mie naona zote ni zao bhana...Kuhusu ufake au ukweli sijajua bdo ila ile sauti ni ya wema. Labda ya mbowe ndiyo yenye walakini.
Hili jukwaa vipi? Au hali inakaba hakuna bundle? Siku hizi nikichungulia Nalog-off haraka ila nyuma nilikuwa nasahau hadi kazi za mkoloni. Kiufupi uchovu wa kazi nilikuwa nautolea hapa.
Juzi watu8 alisema akiingia JF anakutana na ID asizozijua anaamua kulog-off. Let's make chit-chat great and charmist again. Member wapya njooni muongeze marafiki, wa zamani tuliendeleze.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]nahivi alitumia dompo 2 na balimi 6
Gaga bby[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mwengine anaitwa lady nn cjui vile
silent heart nimemuelew.Anzia chini kwenda juu...
Huyo shedede ni kisu balaa..
Kazi kwako mkuu..
Na ni vizuri ukafanya livestreaming ya mtongozo hapa hapa tukusaidie
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji123] [emoji123] [emoji123]Oyaaaa!
Nenda ka-edit mkuu
Tutagombana bure
Unapotaka kupita mi nilishaga pita so go ahead mkuu[emoji1]Mbona waguna mrembo?mm ndo bi mdogo eeh. Habari ndo hiyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana mwanaume hutakiwi kuwa muoga hivyo istoshe hatuwi wapenzi Bali nimarafiki , pili sina mwanaume hata hukuJf Bali ni utani tuu na huwa unaishia humu humisasa mtu wko akiona nakupetpet hap si ntaletewa shida mim
We natamani unyongwe tuu maana hamna namna ingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]nahivi alitumia dompo 2 na balimi 6
Unavyomuita uniombeage na msamaha
Unatongozwa na yule jamaa ujue.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]nahivi alitumia dompo 2 na balimi 6
Unavyomuita uniombeage na msamaha