Parokooo....Wewe ushakuwa matawi ya juu siku hizi,sikuwezi....
NdioTeeeenaaa
Ni kweli bado ubaguzi upoAcha kabisa. Lengo la chit chat ni Kwa mada zile ambazo watu wanaweka fahamiana utani kidogo. Ila kuwa memba wengine wanazingua
binam tena?? [emoji19][emoji19]Una akili sana ndo maana umeelewa. Njoo uwe binamu yangu jf. Only jf.
Swaumu inabana Sana. JF ilinivutia vile memba wanachat humu chit chat jinsi walivyozoeana.Na kweli jukwaa limepoa... swaumu nayo inachangia
lazima ni panic jaman ni hari ya maishaMbona umepanic team andunje hahahaha
Tutajuaje [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahhaaa....
Mambo mengine uje pm na wewe.
Mkuu wa anga ndio nini ! Hawachelewi kusema naruka na ungo hawa [emoji23][emoji23][emoji39]
Upo badoNi kweli bado ubaguzi upo
Si mnamwona huyu? [emoji1] [emoji1]
Hahahaha ni hivi wale wa mwanzo wengi Sana hawaonekani Sana. Now kuna wapya ambao wanaendeleza gurudumuMakapuku wenyewe naona siku hizi kuna makundi hahah
na ananificha si kidogo...
wageni tunapatga tabu kwli mkuu. unawez ukaanzsha mada yako nzur tu ila kwa kuwa ''hujulkani'' wanaishia kujibu watu wasozid kumi tu.ila akianzsha flan kwa kuwa n maaruf anapata reply 1000+Tatizo mtu anaweza anazisha mada ya kichit chat members wengine wanamzodoa aisee. Kisa Tu ni mgeni kwenye forum
na watu kama nyie ndo mnachangia ivo broNa member wapya wanaonewa saana sijui kwanini