Humu vp

Humu vp

Mr JM

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
266
Reaction score
466
Mm mgeni nimeamua kujumuika nanyi nimepata kujionea uzuri wa Jf nikaamua kujiunga najua ntapata mambo mengi.
 
Karibu mkuu humu pumba utazikuta point pia utazikuta utafurah sometym utakasirika sometym kazi kwako kuchuja watc gud bai de wei kalibu sana mkuu
 
Jamani mbona sikaribishwi na wadada kina miss mnahitajika huku plz
 
Back
Top Bottom