Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe kama Mbowe alipata tabu kiasi kile, unataka Diamond afilisiwe? mnaandika tu kirahisi rahisiUmaarufu wa wasanii wetu hauna faida yeyote zaidi ya kutumika kwenye kuwabeba viongozi.
Hii ni tofauti na nchi zingine mfano Nigeria. Ona huyu hana hata neno moja ameandika kuhusu wamasai Loliondo zaidi yakutumia tamaduni zao kujijengea sifa.
View attachment 2259002
Ungekuwa wewe ungekubali kurisk utajiri wako sababu kupigania haki za wengine dunia nzima hakuna tajir atakayefanya jambo hiloUmaarufu wa wasanii wetu hauna faida yeyote zaidi ya kutumika kwenye kuwabeba viongozi.
Hii ni tofauti na nchi zingine mfano Nigeria. Ona huyu hana hata neno moja ameandika kuhusu wamasai Loliondo zaidi yakutumia tamaduni zao kujijengea sifa.
View attachment 2259002
Umaarufu wa wasanii wetu hauna faida yeyote zaidi ya kutumika kwenye kuwabeba viongozi.
Hii ni tofauti na nchi zingine mfano Nigeria. Ona huyu hana hata neno moja ameandika kuhusu wamasai Loliondo zaidi yakutumia tamaduni zao kujijengea sifa.
View attachment 2259002
Kunyaland ndio ndugu zako? Nenda kawasemee na wafyekwe kweli kweli..Umaarufu wa wasanii wetu hauna faida yeyote zaidi ya kutumika kwenye kuwabeba viongozi.
Hii ni tofauti na nchi zingine mfano Nigeria. Ona huyu hana hata neno moja ameandika kuhusu wamasai Loliondo zaidi yakutumia tamaduni zao kujijengea sifa.
View attachment 2259002
Woga na kujipendekeza ni kwa wasanii wetu tuu, wengine wanajitoa kuisemea jamiiUngekuwa wewe ungekubali kurisk utajiri wako sababu kupigania haki za wengine dunia nzima hakuna tajir atakayefanya jambo hilo
www.thenicheng.com
Kwahiyo endsars unaifananisha na wamasai wa ngorongoro wanaoambiwa wahame wanakuwa wabishi??? 😅😅😅....Woga na kujipendekeza ni kwa wasanii wetu tuu, wengine wanajitoa kuisemea jamii
![]()
Nigerian Musician, Davido, joins #ENDSARS protest in Abuja - TheNiche
By Jide Oyekunle, Abuja A Nigerian popular artist, David Adeleke, popularly known as DAVIDO has joined thousands of Nigerian who were protesting againstwww.thenicheng.com
Hata mi siungi mkono wanaodai kuwa atoe tamko wakati wenyewe wamejificha nyuma ya keyboard.....Ajifanye kimbelembele aone cha mtema kuni
Hata mi siungi mkono wanaodai kuwa atoe tamko wakati wenyewe wamejificha nyuma ya keyboard.....
Ingia mtaani, paza sauti isikike ili upate kuungwa... Usitake watu wakuunge mkono wakati wewe hujajitokeza hadharani kana kwamba tukio halikuhusu kabisa....
Ndo hapo sasa... Wanadhani kila kitu ni kudandia tu bila kuwa na sababu maalumu....Hawajui alikuwepo Dr. Lamwai nchi hii. Mwanasheria msomi aliyebobea. Enzi zake akisimama mahakamani, mapolisi na wanasherehekea wengine wanaogopa. Kwenye ulingo wa siasa aliitikisa serikali. Uliza mwisho wake ulikuwaje!