Huna maana hata iweje. . .


Upo my dia? Longtym cjakutia machoni
 
ili uheshimike kwenye ndoa heshimu familia yako heshimu mke/mme wako mtaishi kwa amani sana lakini hii chovya chovya madhara yake ni makubwa sana kama vile magonjwa, kuonekana uko mtupu, etc.

Kweli ndugu yangu,heshima huficha mengi!
 
Sure,huwa nawasiki jamaa zangu wanadai hivyo!

ee Mungu nakushukuru mambo haya uliyafanya kuwa siri ilaa sisi binadamu tumekuwa wabaya kiasi cha kuyaweka hadharani lolol! bwawa??????????? naumi kichwa sijui likoje?
 
ee Mungu nakushukuru mambo haya uliyafanya kuwa siri ilaa sisi binadamu tumekuwa wabaya kiasi cha kuyaweka hadharani lolol! bwawa??????????? naumi kichwa sijui likoje?

Wanadai mwisho wa raundi ya kwanza shuka inaloa yote na wakati wa gem huwezi kugusa ukuta wa pembeni kwa sababu ya ukubwa!
 

Kumbe bado upoupo kwanza,mi nilidhan tayar nikwambie mpelekee hongera zake wifi kwa kupata mume muadilifu. Ila hakijaharibika kitu,hongera kwa mtarajiwa.
 
:mwaaah::mwaaah::mwaaah: nimetokea kukupenda gafla Eiyer
 
Kumbe bado upoupo kwanza,mi nilidhan tayar nikwambie mpelekee hongera zake wifi kwa kupata mume muadilifu. Ila hakijaharibika kitu,hongera kwa mtarajiwa.
Tayari amepatikana humuhumu kwenye hii siredi ya ukweli hujamuona?Lol. . .
 
Wanadai mwisho wa raundi ya kwanza shuka inaloa yote na wakati wa gem huwezi kugusa ukuta wa pembeni kwa sababu ya ukubwa!

khaaah! sasa Eiyer umenichefua lol! bwana hakunaga maumbile kama hayo. labda kama ni stail ya kipisi cha sigara.
 
Last edited by a moderator:
I like this!!! Ninaanza kuiga kuanzia leo.
 
Eiyer kizazi hiki tupate wapi tena mtu kama wewe ambaye unamawazo ya busara?.ubarikiwe sana
 
Last edited by a moderator:
Hao wanaolambwa huwa ni akina nani? Si wake za watu pia? Kwanini aibu iwe upande mmoja? Kuna wake za watu siku hizi wanatongoza wanaume kama hawana akili nzuri. Au ukimtania tu keshakukubalia. yaani tuseme tu dunia hii hivi sasa ni balaa tupu! Eiyer anasema yeye hatajaribu, lakini atashangaa na roho yake atakapojua kwamba mkewe anagawa hadi kwa wauza mkaa hapo mtaani kwake. Ni jambo la kawaida tu hilo. Ukiona mme ametulia, basi mke kipanga and the vice versa.
 
Too hypothetical or rather a 'lab experiment'
 
Sasa wanaume wa dizaini hii unakuta mwanamke ndo kicheche balaa
 
Na ukitaka kukonga nyoyo za baadhi ya wanawake, tena asilimia kubwa sana
Waambie maneno kama haya, wasomi kwa wamama wa home

Maneno matamu wanayopenda kuyasikia hata kama hayako 'realistic'
 
mkuu umenena vyema, ila kumbuka usemi huu "usitukane mto kabla hujavuka mamba"
 

Thanks gfsonwin that is so sweet of you kunipigia debe to my Eiyer. Nahitaji kufundwa sana na wewe, kwenye hii kitu ya marriage; lakini kilichokuwa kinanishinda siku zote ni kuvumilia infidelity and l thank God that kwa my Eiyer that is not an issue kabisa. Eiyer; how I love that sound of the sweet name!
 
Last edited by a moderator:

Usijali my Wi, bill yote nitaclear na vitenge vya hollandee utapata tu; tena weekly. Kumbe mvumilivu hula mbivu, l knew Mungu ananiumbia mume wangu mwenyeeewee na my Wi wa ukwelii!

Boarding now, Eiyer see you soon baby!
Tons of love!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…