Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Pole lakini amini mapenzi yapo ndugu yangu, omba Mungu akukutanishe na MTU sahihi, uta enjoy.Hii ni kwa ma men.
Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka.
Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake. Ahahahah😭😭😭😭
Nasikitika kuwaambia kuwa hamna wapenzi, bali mna wanyonya damu. Shtukeni.
Mkijibiwa hizo SMS zenu tumeni screen shot hapa tucheke pamoja.
Sasa inakuwaje unaomba 10k ovyoovyo, hao ni wanafunzi wa vyuo ndio wanaombaombaHii ni kwa ma men.
Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka.
Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake. Ahahahah😭😭😭😭
Nasikitika kuwaambia kuwa hamna wapenzi, bali mna wanyonya damu. Shtukeni.
Mkijibiwa hizo SMS zenu tumeni screen shot hapa tucheke pamoja.
Ahahahah.Wewe muha acha ubahili...
Ahahahah.
Mwombe pesa tupe majibu
🤣🤣🤣huyo ndiyo mwenyeweHuyu mtoto ananitafuta ubaya, nimeomba elfu 10 katuma 30. 😀😀😀
Huo ni mtego, mwisho wa mwezi nitapigwa mpaka nisione mbele. Mmeniingiza kwenye shida🤣🤣🤣huyo ndiyo mwenyewe
Hakuna....nenda nae taratibu mkuuHuo ni mtego, mwisho wa mwezi nitapigwa mpaka nisione mbele. Mmeniingiza kwenye shida
Wenetu huwa mnakosea wapi kuchagua wanawake, Pisi inashindwa kukuokoa na ten kweli?Hii ni kwa ma men.
Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka.
Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake. Ahahahah😭😭😭😭
Nasikitika kuwaambia kuwa hamna wapenzi, bali mna wanyonya damu. Shtukeni.
Mkijibiwa hizo SMS zenu tumeni screen shot hapa tucheke pamoja.