Achana naye mkuu,reply zake kwenye threads nyingi huwa ni zakupinga au kuonyesha ujuaji(I stand to be corrected).Drawing him from psychology ni mtu wa kujivuna,kujiskia,dharau,mjuaji,kiburi cha elimu ndogo na pengine aliwahi tembea ughaibuni kidogo so anaona kama kamaliza kila kitu.Me hata sioni hata point yako mkuu, kwan kunashida gan kuwa dalali?Yeye ni dalali ndio, ndo maana kashare nasi km mtu anaweza kifanya afanye kwakuwa yeye inamlipa. Ww unataka uwe investor? Ukiogopa risk huwezi fanikiwa, ndo maana wasomi wengi wanashindwa kifanya yao wanaenda kuajiliwa na watu wasio soma kwasababu ya ujinga wao. Diamond alipokua anaimba wasomi wakasema anaacha shule anaimba imba, kafanikiwa wasomi hao hao navibahasha wanaomba kazi, mzee bakhressa kipindi anauza mikate wakasema kazi za wasiosoma, saiz ndo anawaburuza. Wasomi hawa wa Africa ni wajinga ndo maana nchi haziendelei, mtu anaweza fanikiwa kwa chochote ambacho ataweza fanya kwa bidii na maarifa. Kuna madalali posta hapo wanamaisha mazuri, ukipata chanel tu na connection.:-:-
Kuna Daktari aliniambia kuwa hizo ni dalili za ugonjwa wa akiri pia, yaan ujuaji mwingi, ubishi na ugomvi. Yaani unakuta kila mtu unamuona hajui, au kila mtu unambishia au unagombana na watu. So anaweza kuwa anatatizo la kisakolojia, na yeye anakuwa anajiona yupo fine. Wengine ni watu wakubwa, wasomi na wanafanya mambo yao lkn ukiwachunguza kiundani wanashida kichwani. Ndo maana Madaktari wa afya huwez mkuta anabishana na mtu asiyemjua, labda awe dr mwenzie na wanafahamiana. Atakachofanya ni kumuangalia kwa makini anavyoropoka na kumsoma, hvyo ni rahisi daktari kumgundua mtu mwenye shida akiri hata km watakuwa wanaongea friendly.Achana naye mkuu,reply zake kwenye threads nyingi huwa ni zakupinga au kuonyesha ujuaji(I stand to be corrected).Drawing him from psychology ni mtu wa kujivuna,kujiskia,dharau,mjuaji,kiburi cha elimu ndogo na pengine aliwahi tembea ughaibuni kidogo so anaona kama kamaliza kila kitu.
Akili kubwa itaendelea kutawala akili ndogo milele.
Mkuu umeeleza vizuri sanaKuna Daktari aliniambia kuwa hizo ni dalili za ugonjwa wa akiri pia, yaan ujuaji mwingi, ubishi na ugomvi. Yaani unakuta kila mtu unamuona hajui, au kila mtu unambishia au unagombana na watu. So anaweza kuwa anatatizo la kisakolojia, na yeye anakuwa anajiona yupo fine. Wengine ni watu wakubwa, wasomi na wanafanya mambo yao lkn ukiwachunguza kiundani wanashida kichwani. Ndo maana Madaktari wa afya huwez mkuta anabishana na mtu asiyemjua, labda awe dr mwenzie na wanafahamiana. Atakachofanya ni kumuangalia kwa makini anavyoropoka na kumsoma, hvyo ni rahisi daktari kumgundua mtu mwenye shida akiri hata km watakuwa wanaongea friendly.
You no nothing = you know nothingYou no nothing about R.E kama unafikiri ni biashara ya kununua na kuuza mashamba , nyumba au viwanja tu!!
Yaani una ka idea tu na hujui the circle matrix ya biashara nzima ikoje..do your homework kid