HERY HERNHO
Senior Member
- Mar 4, 2022
- 110
- 458
Hivi sasa nchi za Ulaya zinaendelea kukabiliwa na mgogoro mkubwa wa nishati baada ya nchi za bara hilo kuiwekea vikwazo Russia kwa kisingizio cha vita vya Ukraine.
Mwaka jana, Orbán mara kadhaa amemlaumu Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky kwa kukubali kuchochewa na nchi za Magharibi na kuitumbukiza nchi yake kwenye vita angamizi na Russia.
Waziri Mkuu wa Hungary amesema wimbi la vikwazo dhidi ya Russia kama jibu kwa mgogoro wa Ukraine limeutia kwenye matatizo mengi uchumi wa nchi za Ulaya, huku Marekani ambayo ina nishati ya kutosha ya bei rahisi ikiwa mbali na changamoto hizi (zinazopitia nchi za Ulaya).
Mwaka jana, Orbán mara kadhaa amemlaumu Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky kwa kukubali kuchochewa na nchi za Magharibi na kuitumbukiza nchi yake kwenye vita angamizi na Russia.
Waziri Mkuu wa Hungary amesema wimbi la vikwazo dhidi ya Russia kama jibu kwa mgogoro wa Ukraine limeutia kwenye matatizo mengi uchumi wa nchi za Ulaya, huku Marekani ambayo ina nishati ya kutosha ya bei rahisi ikiwa mbali na changamoto hizi (zinazopitia nchi za Ulaya).