HUNGER IN KENYA: Poor planning and inaction to blame for food insecurity

kWA HIYO, KENYA NI YA FOREIGNERS. BADALA YA KUONGELEA MAISHA YA MTU MZAWA, MKENYA, UNALETA HABARI ZA WATU AMBAO SIKU ZOTE WANAFIKIRIA KUIRUDISHA NYUMA AFRIKA.
Si hiyo JNIA ni airport ya mostly foreigners sababu watz wengi hawawezi ku-afford tiketi za ndege? Si huo uchumi wenyu Tz ni wa foreigners waarabu na wahindi kwa asilimia 90% ?

Charity begins at home nenda uongelee waTzed wazawa kwanza waliojaa temeke ,manzese , Tandale wanaoishi kama ngurue .

Anyway Nairobi imejaa foreigners Africans ,Europeans ,Asians ,North & South Americans sababu wamevutiwa na mengi pale sasa mbona Dar haiko hivyo? Hawa wote hawangekuja kwa wingi hivi kama Kenya ingekuwa mbaya .
 
Eti watz wengi hawawezi afford [emoji23][emoji23][emoji23] Niliona mahali wakenya wengi wana matatizo ya akili
Wakenya wengi wanakimbia kwao kwa sababu kwao hakufai, vipi hukuona ike ripoti kuwa wakenya wengi wamechoka kuishi kenya wanatamani kwenda kuishi pengine [emoji23][emoji23][emoji23].
 
Ni kweli hapo kabisa nyie Tz hamuoni Tandale ,Manzese ,kijitonyama na slums nyingine Dar mnapenda tu kuimba kibera.
Hayo maeneo uliyotaja hususan kijitonyama aisee yanakua.
Kijitonyama ya sasa sio ya zaman imejengeka na yazidi jengeka hakuna eneo ht moja lenye slum
 
Wanakuja kuchuma na kuondoka.
Tz kuna foreigners wengi tu pia buddah.
Halafu unaitaja tu Temeke umefika kaka????
Temeke sio km kibera Temeke pazuri baba la baba.
 

Wanafuata asali ya shamba la bibi Kenya.
Maana Kenya ukiwa foreigner you can do anything, no one can touch you.
 
Hivi unaona fahari kuwa na wageni wengi, au ofisi nyingi za kigeni wakati kuna slums nyingi na kubwa kuliko nchi yoyote hapa Africa?, Mimi ninadhani ungejisikia aibu kwa wageni Kuwepo Nairobi kuona wenyeji wakiteseka katika hizo slums badala ya kufurahia.
 
Alafu hao hao wageni wanaita kibera ni national park.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…