Huo muunganiko tusubiri hadi lini?

Huo muunganiko tusubiri hadi lini?

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983
Tayari mapicha picha yameanza huko mitaa ya ubwelani.

Muunganiko hauonekani huku baadhi ya mambwela wake waki a mini ubwela utachanganyia mwendo katikati ya mashindano ya ligi.

Wakati wakiwa wana tafuta muunganiko ambao haujulikani utapatikana lini watajikuta pacha mwenzake kamuacha mbali sana kwa tofauti ya alama.

Watafukazana alafu bonge nae kama kawaida atapokea ubwela uliochacha akitaka kuuchachua na kuinua matumaini hata nafasi ya nne, wakati huo msimu unaeleka tamati na wakitafuta mwalimu mweupe mwingine ili kuendelea na season.
Soka ni uwekezaji na siyo janja janja, ukiweka janja janja mambo wala hayajifichi kwani soka ni mchezo wa wazi.
 
Yanga bingwa mpaka sasa ana point za team 6 anazozidhamini kinyemela.
 
Tayari mapicha picha yameanza huko mitaa ya ubwelani.

Muunganiko hauonekani huku baadhi ya mambwela wake waki a mini ubwela utachanganyia mwendo katikati ya mashindano ya ligi.

Wakati wakiwa wana tafuta muunganiko ambao haujulikani utapatikana lini watajikuta pacha mwenzake kamuacha mbali sana kwa tofauti ya alama.

Watafukazana alafu bonge nae kama kawaida atapokea ubwela uliochacha akitaka kuuchachua na kuinua matumaini hata nafasi ya nne, wakati huo msimu unaeleka tamati na wakitafuta mwalimu mweupe mwingine ili kuendelea na season.
Soka ni uwekezaji na siyo janja janja, ukiweka janja janja mambo wala hayajifichi kwani soka ni mchezo wa wazi.
Ukiwekeza janja janja utavuna janja janja, similarly if your are sick the business will also be sick, ukiumwa biashara nayo itaumwa ukisafiri vivyo hivyo
 
Yanga bingwa mpaka sasa ana point za team 6 anazozidhamini kinyemela.
Na nyie mdhamini tatizo lenu boss wenu mbahili, ndio maana kajaza mabango mpaka makalioni.

Ila kama hujui Azam Media inatoa hela za kujikimu kwa timu zote zinazo shiriki ligi kuu ktk mkataba wake wa bil 225 alio ingia na TFF.Sasa huyu unamweka kundi gani.

Msimu uliopita tumechukua points sita kwa 5imba na msimu huyu ngao tumemgonga je yy tulimpa kiasi gani? Au kwenye zile bil 7 kuna hela mlizo hogwa/kudhaminiwa na GSM.
 
Na nyie mdhamini tatizo lenu boss wenu mbahili, ndio maana kajaza mabango mpaka makalioni.

Ila kama hujui Azam Media inatoa hela za kujikimu kwa timu zote zinazo shiriki ligi kuu ktk mkataba wake wa bil 225 alio ingia na TFF.Sasa huyu unamweka kundi gani.

Msimu uliopita tumechukua sita kwa 5imba na msimu huyu ngao tumemgonga je yy tulimpa kiasi gani? Au kwenye zile bil 7 kuna hela mlizo hogwa/kudhaminiwa na GSM.
Yanga hajawahi kufungwa na simba mbona unatoka nje ya mada.
 
Yanga hajawahi kufungwa na simba mbona unatoka nje ya mada.
Wewe kigezo chako si sababu wanafungwa na Yanga unaona GSM kuhonga, nimekuuliza na ww umehongwa?

Vp na hao Azam nao huwahoni, tena wale wanatoa hela za kujikimu kwa timu zote tena kwa misimu kumi,vp nao hawa au kwa kuwa GSM.
 
Wewe kigezo chako si sababu wanafungwa na Yanga unaona GSM kuhonga, nimekuuliza na ww umehongwa?

Vp na hao Azam nao huwahoni, tena wale wanatoa hela za kujikimu kwa timu zote tena kwa misimu kumi,vp nao hawa au kwa kuwa GSM.
Inawezekana upo sahihi ila AZAM huwa haweki ahadi ya pesa kwa team anazizidhamini kitendo cha team zinapocheza na simba kuahidiwa pesa wakiifunga simba sio ishara nzuri msimu uliopita team zikicheza na simba zinaahidiwa pesa pamoja na yule ndugu yke GSM na baadhi ya wakuu wa mikoa ambao ni utopolo that is my point simba kufungwa na yanga ni kawaida hata simba ilivyukuwa vizuri ilikuwa inaifunga yanga ni kawaida ulipigwa nne au umesahau.
 
Na nyie mdhamini tatizo lenu boss wenu mbahili, ndio maana kajaza mabango mpaka makalioni.

Ila kama hujui Azam Media inatoa hela za kujikimu kwa timu zote zinazo shiriki ligi kuu ktk mkataba wake wa bil 225 alio ingia na TFF.Sasa huyu unamweka kundi gani.

Msimu uliopita tumechukua sita kwa 5imba na msimu huyu ngao tumemgonga je yy tulimpa kiasi gani? Au kwenye zile bil 7 kuna hela mlizo hogwa/kudhaminiwa na GSM.
Subira yavuta heri yaani mambo mazuri hayataki haraka
 
Inawezekana upo sahihi ila AZAM huwa haweki ahadi ya pesa kwa team anazizidhamini kitendo cha team zinapocheza na simba kuahidiwa pesa wakiifunga simba sio ishara nzuri msimu uliopita team zikicheza na simba zinaahidiwa pesa pamoja na yule ndugu yke GSM na baadhi ya wakuu wa mikoa ambao ni utopolo that is my point simba kufungwa na yanga ni kawaida hata simba ilivyukuwa vizuri ilikuwa inaifunga yanga ni kawaida ulipigwa nne au umesahau.
Unaleta hisia..... Nitajie timu moja ambayo GSM kupitia Official Staff wake alisema mkiifunga 5imba atatoa kiasi fulani?

Hizi timu hazina hela halafu kuendesha timu sio swala dogo, hivi mfano GSM akisema anaondoa ufadhili kwenye hizi timu hushajiuliza zinajiendeshaje? Sasa hivi mpira wakibongo rushwa zimepungua kuna kipindi timu hata pakulala tabu, posho hamna?

Tengenezeni timu acheni malalamiko, shauri yenu, mmeplan muwape muda wachezaji wenu kuweni wavumilivu naona mna wasiwasi.Striker kacheza mechi mbili tu mmemtafuta striker mwengine, yaani mnapresha wakati mlikubakiana muwe wavumilivu. Kwa ubora aliyokuwa nayo Yanga misimu hii mitatu ni timu chache sana zinaweza pata hata droo,ndio maana aliingia fainali ya CAF confederation na robo ya Championship, ina maana huko alikuwa anahonga. Mpira mchezo wa wazi..........
 
Unaleta hisia..... Nitajie timu moja ambayo GSM kupitia Official Staff wake alisema mkiifunga 5imba atatoa kiasi fulani?

Hizi timu hazina hela halafu kuendesha timu sio swala dogo, hivi mfano GSM akisema anaondoa ufadhili kwenye hizi timu hushajiuliza zinajiendeshaje? Sasa hivi mpira wakibongo rushwa zimepungua kuna kipindi timu hata pakulala tabu, posho hamna?

Tengenezeni timu acheni malalamiko, shauri yenu, mmeplan muwape muda wachezaji wenu kuweni wavumilivu naona mna wasiwasi.Striker kacheza mechi mbili tu mmemtafuta striker mwengine, yaani mnapresha wakati mlikubakiana muwe wavumilivu. Kwa ubora aliyokuwa nayo Yanga misimu hii mitatu ni timu chache sana zinaweza pata hata droo,ndio maana aliingia fainali ya CAF confederation na robo ya Championship, ina maana huko alikuwa anahonga. Mpira mchezo wa wazi..........
Kwa kuwafunga zalan fc na marumo gallant vibonde akitoa ahadi salah ndio GSM hyo ulitaka atoke GSM mwenyewe unadhani hana akili salah ndio ilikuwa anatoa ahadi kwa kigezo cha silent ocean kuwa mdhamini.
 
Kwa kuwafunga zalan fc na marumo gallant vibonde akitoa ahadi salah ndio GSM hyo ulitaka atoke GSM mwenyewe unadhani hana akili salah ndio ilikuwa anatoa ahadi kwa kigezo cha silent ocean kuwa mdhamini.
Wewe uliwafunga......?,mbona uliishia robo na Kaizer Chief tena mkachoma na pitch ya watu mkapigwa faini ya USD 10k.
Unaleta hisia,basi kama hivyo kwa kutumia hisia hizo hata nyie Azam ni tawi lenu,sababu zamani Bakheresa alikuwa ana wafadhili nyinyi na mtunza hazina wa club yenu........ unaleta mpira wako wa kizamani uliojaa hisia kuliko reality.
 
Inawezekana upo sahihi ila AZAM huwa haweki ahadi ya pesa kwa team anazizidhamini kitendo cha team zinapocheza na simba kuahidiwa pesa wakiifunga simba sio ishara nzuri msimu uliopita team zikicheza na simba zinaahidiwa pesa pamoja na yule ndugu yke GSM na baadhi ya wakuu wa mikoa ambao ni utopolo that is my point simba kufungwa na yanga ni kawaida hata simba ilivyukuwa vizuri ilikuwa inaifunga yanga ni kawaida ulipigwa nne au umesahau.
Haya Azam Azam nao sasa hivi wanawadhamini Namungo kuanzia msimu huu, vipi na hawa nao unasemaje?
 
Tayari mapicha picha yameanza huko mitaa ya ubwelani.

Muunganiko hauonekani huku baadhi ya mambwela wake waki a mini ubwela utachanganyia mwendo katikati ya mashindano ya ligi.

Wakati wakiwa wana tafuta muunganiko ambao haujulikani utapatikana lini watajikuta pacha mwenzake kamuacha mbali sana kwa tofauti ya alama.

Watafukazana alafu bonge nae kama kawaida atapokea ubwela uliochacha akitaka kuuchachua na kuinua matumaini hata nafasi ya nne, wakati huo msimu unaeleka tamati na wakitafuta mwalimu mweupe mwingine ili kuendelea na season.
Soka ni uwekezaji na siyo janja janja, ukiweka janja janja mambo wala hayajifichi kwani soka ni mchezo wa wazi.
Muunganiko wa timu hauji kama kuweka sukari kwenye kikombe cha chai. Hata Nabi alipokuja Yanga aliomba aulizwe habari baada ya siku 90.Ligi hata haijaanza kufikria suala la muunganiko wa timu yenye wachezaji 15 wapya na mwalimu mpya baada preseason ya wiki tatu ni aina fulani ya wenda wazimu.
 
Back
Top Bottom