Hureee,leo ndo kwa mara ya kwanza naenda kuonyeshwa kariakoo sikuwahi kufika

Watu

Watu type yenu kwa kuandika uongo mnaishusha hadhi JF kuna thread ulisema uliibiwa simu kariakoo
Sasa wewe utabishaje wakati mi ndo nimeibiwa je kuibiwa nayo ni sifa mpaka ichague MTU,libeva mimi ndo niliibiwa tusibishane mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…