LITTLEANTARY
New Member
- Sep 8, 2018
- 4
- 2
assalaam alaikum viongozi na ndugu watanzania, nasambaza barua hii kwa lengo la kuomba na sisi tusikilizwe mimi kama mtoto wa kwanza wa mtuhumiwa Antar Humud nafanyah ivi baada ya kuzidi kuongezeka machungu na shida na mfarakano na umaskini wa familia na miaka kila siku tunaihesabu ikiongezeka huku hatujui watatoka mwaka gani.
Natumia barua hii ikienea huenda ikabadilisha matokeo na ikaridhisha mahakama angalau tuepuke na shida zilizotukuta kwa miaka mitano na zaidi...
Barua inaendelea, nimeweka kiambatanisho
Natumia barua hii ikienea huenda ikabadilisha matokeo na ikaridhisha mahakama angalau tuepuke na shida zilizotukuta kwa miaka mitano na zaidi...