Huruma ya kimkakati katika mapenzi

Huruma ya kimkakati katika mapenzi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Upole, busara na hekima ya kimaongezi na kujali yataka kuwa shubiri iliotamu. Ipo hivi kuna pisi inapitia nyakati tata ako na boy wake yuko TASAF mahali, jamaa hapati fursa ya kula mbususu, sasa upweke wa hii pisi nimekuwa mfariji, anaebalance hisia zake na utulivu.

Of recent, she has amidstly prompted her interest awe anakuja geto la mimi mninja fulani ambaye anaongea kama mtoto wa mchungaji.

Naogopa lawama. Watu wa TASAF na pesa zenu mimi nawatafunia shemeji yenu.

Kipawa cha huruma, busara, hekima, upole vinaenda kulipa matunda hivi punde, kesho saa 4 naenda kunyandua. Nitapita na pisi kula supu nono Bambalaga, bro Frank nikifika usinisalimie mara long time no see, enzi zetu za kupanda Akamba bus za kuunganisha pale Nairobi, kesho tusipige story. Bonge la pisi Mkae kwa kutulia

Maninja tuna huruma na tunapewa na tukipewa tule na tusaze. A mabele nyonyo! tupewa bwererebwerere.

Nawasalimu nikiwa geto Makuru.
 
Back
Top Bottom