youngkato
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,319
- 3,097
Dunia hii bhana haina huruma
Haijui umesoma nini, unajua nini, una magumu gani.
Usipojihangaisha inakupiga kweli
Hakuna atakayekuonea huruma
Kuna watu wanasema mimi nimesoma injinia siwezi kufanya kazi za darasa la saba
My friend kuwa makini maisha ni magumu kuliko unavyofikiria
Nimetembea nchi kama kumi lakini Tanzania ndo nchi ambayo ni rahisi kutoboa kwasababu washamba ni wengi sana
Tokomeza uvivu
Ingia online jifunze kula hela za wazungu
Usijiamini kupitiliza maisha ukiwa mvivu yanakupiga kweli kweli
Changamka kabla umri haujakutupa mkono.
Life is easy and hard kutegemea na wewe mwenyewe.
Money is there waiting for you online
Thank you for your time
Haijui umesoma nini, unajua nini, una magumu gani.
Usipojihangaisha inakupiga kweli
Hakuna atakayekuonea huruma
Kuna watu wanasema mimi nimesoma injinia siwezi kufanya kazi za darasa la saba
My friend kuwa makini maisha ni magumu kuliko unavyofikiria
Nimetembea nchi kama kumi lakini Tanzania ndo nchi ambayo ni rahisi kutoboa kwasababu washamba ni wengi sana
Tokomeza uvivu
Ingia online jifunze kula hela za wazungu
Usijiamini kupitiliza maisha ukiwa mvivu yanakupiga kweli kweli
Changamka kabla umri haujakutupa mkono.
Life is easy and hard kutegemea na wewe mwenyewe.
Money is there waiting for you online
Thank you for your time