Huruma za Urusi ndizo zimetufikisha hapa.

Huruma za Urusi ndizo zimetufikisha hapa.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hizi huruma za taifa la Urusi kwa majirani zake na maadui zimevuka kiwango.Inashangaza adui zako wamepania kukuzingira na kukupiga lakini wewe unafanya mazungumzo nao,unawapelekea gesi ya kuplikia na kwa matumizi ya viwanda. Zaidi ya hapo halafu adui yako analia njaa na wewe unampelekea chakula ale ashibe halafu aje apigane na wewe.
Ukraine inaonesha imeelemewa kivita na uchumi wake wote wa viwanda umekufa baada ya maeneo ya viwanda kutekwa na Urusi.Kimbilio kubwa la Ukraine ni kuuza ngano zake zilizokuwa maghalani.Imeomba kwa Urusi iruhusiwe kuuza mazao yake hayo japo kupitia bandari za bahari nyeusi zilizo kaskazini na Urusi imekubali ombi hilo.Mimi kwa kweli sina huruma hizo kwa adui zangu.
 
Hizi huruma za taifa la Urusi kwa majirani zake na maadui zimevuka kiwango.Inashangaza adui zako wamepania kukuzingira na kukupiga lakini wewe unafanya mazungumzo nao,unawapelekea gesi ya kuplikia na kwa matumizi ya viwanda. Zaidi ya hapo halafu adui yako analia njaa na wewe unampelekea chakula ale ashibe halafu aje apigane na wewe.
Ukraine inaonesha imeelemewa kivita na uchumi wake wote wa viwanda umekufa baada ya maeneo ya viwanda kutekwa na Urusi.Kimbilio kubwa la Ukraine ni kuuza ngano zake zilizokuwa maghalani.Imeomba kwa Urusi iruhusiwe kuuza mazao yake hayo japo kupitia bandari za bahari nyeusi zilizo kaskazini na Urusi imekubali ombi hilo.Mimi kwa kweli sina huruma hizo kwa adui zangu.
Putin anahuruma waombe uongozi asipewe Medvedev
 
Mkuu putin sio fala hiyo ni taplo ameandaa anasubir wajae tu
 
Huyo Putin hana huruma yoyote Ila anahitaji pesa za kuendesha hiyo Vita. Ulaya ndo mteja Mkuu wa Gas yake.
 
Putin mwenyewe anaitaji pesa ya kufadhili vita vyake alafu unasema huruma?? Yeye alitegemea kazi itakuwa nyepesi tu,

Huyu fashsti dikiteta ningemuelewa sana kama angeendelea kubaki huko Syria akimkingia kifua Assad.., tatizo alisifiwa kukimbia akapitiliza kwao
 
Dunia ni Kununua na Kuuza. Adui yako pia anacho ulichopungukiwa. Mnapigana pia mnauziana. Hiyo ndio Kanuni.
 
Huyo Putin hana huruma yoyote Ila anahitaji pesa za kuendesha hiyo Vita. Ulaya ndo mteja Mkuu wa Gas yake.
Tunazungumzia kuiruhusu Ukraine iuze ngano yake ipate pesa na Ulaya ambayo ni adui wa Urusi wapate chakula .Si ni bora amzuie Ukraine kupata fedha na Ulaya wadhoofike kwa njaa. Unaonaje hiyo ?
 
Back
Top Bottom