Husband Needed


Inshallah Mungu akukutanishe na malaika mwenye maumbile ya mwanadamu na sijui atatokea continent ipi🤔🙏

Vinginevyo jitunze na ujipende na kulea watoto wako mwayego
 
Hayo ya kuwa Hr in a government entity n.k siyo issue. Issue kubwa ni una umbo namba 8?
 
Wewe tuma cv hayo mambo ya father of the kids alive ya nini tena mzeeya. Mrembo anataka tulizo la moyo. 33 with three kids sii mchezo.
Bro tatizo anataka ndoa, ujue ndoa ni kitu sensitive sana hasahasa kwa mwanaume, hutakiwi kufanya makosa au UTAJUTA maisha yako yote .

By the way kujua kama baba wa watoto wake Yuko hai ni top priority.
 
Bro tatizo anataka ndoa, ujue ndoa ni kitu sensitive sana hasahasa kwa mwanaume, hutakiwi kufanya makosa au UTAJUTA maisha yako yote .

By the way kujua kama baba wa watoto wake Yuko hai ni top priority.
Hakikisha umeona yafuatayo;
1. Kaburi la aliyekua Mume,
2. Cheti cha kifo (majina yafanane na jina lililopo kaburini, ubini wa watoto),
3. Video clip ya mazishi.
 
Lock your MP babe, I already send a short letter about me loving you without doubt.
You know people talking here with big mouth for eating bred but they are keep talking nonsense.
Come to me babe, I'm only one year behind your years.
Now I'm submitted my apologies in case my English-language is too hard.
From me ❤
 
3-0 bado anapatamani Labour.........na wasi wasi huyu atakuwa anatafuta tuzo.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…