Huwa namu alert tu sitaki apitwe na kitu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani mamdogo sijui anashare za jukwaa lile! Ila hata wewe maana ndiyo mnapeanaga sapoti
Hahahahaaa... Sema ndo nishampenda @Dabby tayari. Ngoja aje mtu atokwe povu kama nimeiba bwana JFWewe[emoji15] [emoji15] [emoji15] au maana kwa huo muonekano wakware watakuwa hawakauki[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bebe kwa wivu... mali yako ipo salama bwana haipotei [emoji12]Unamlindia nani tena??
Kwani watu wanaibiana mabwana humu haha [emoji23][emoji23]Hahahahaaa... Sema ndo nishampenda @Dabby tayari. Ngoja aje mtu atokwe povu kama nimeiba bwana JF
Nashukuru babe.. [emoji8]Bebe kwa wivu... mali yako ipo salama bwana haipotei [emoji12]
Aaaah baby huku mambo ni mengi sana.Kwani watu wanaibiana mabwana humu haha [emoji23][emoji23]
Habhaaaa nakuhakikishia kabisa Raven hana mwanamke zaidi yako.Jiachie tuHahahahaaa... Sema ndo nishampenda @Dabby tayari. Ngoja aje mtu atokwe povu kama nimeiba bwana JF
Yani hapa ni mbwa Mkali,ulinzi mkali[emoji23] [emoji23] [emoji23]Bebe kwa wivu... mali yako ipo salama bwana haipotei [emoji12]
[emoji8][emoji7]Nashukuru babe.. [emoji8]
Juzi nilikuwa pwani nikaskia wanasema.Yani hapa ni mbwa Mkali,ulinzi mkali[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lol haya bwanaJuzi nilikuwa pwani nikaskia wanasema.
Usimsifu mwenye mbio msifu na anayemkimbiza
Teh haya. Ujue nipo kwenye uzi mmoja hivi wangu unanifanya nisahau huku [emoji85][emoji125] [emoji125] [emoji125]Lol haya bwana
Mambo yako nayafahamu kidogo.....nilifuatilia kwa makini ile na Stunter.Hahaha.... kawaida mzee
Wapi huko[emoji15]Teh haya. Ujue nipo kwenye uzi mmoja hivi wangu unanifanya nisahau huku [emoji85][emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yap.. mamdogo umemshindwa weweMambo yako nayafahamu kidogo.....nilifuatilia kwa makini ile na Stunter.
Mamdogo sikumshindwa.... Nilimuona haya Lee. Na mimi ni kinganganizi. Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha.Yap.. mamdogo umemshindwa wewe