Erick_Otieno
JF-Expert Member
- Mar 28, 2010
- 624
- 1,023
ni kosa lao kwa kutozungusha cv...mbona ndani miezi 4 iliyopita mie nimepokea cv karibu 6 na kuzirecommend??? HAWAPELEKI MAOMBI YA KAZI halafu wanabaki kulilia hawana ajiraVijana wengi hawana ajira unahisi ni kosa la nani hasa
DJ sepetu
Duhh...[emoji15] [emoji15]yap. bila makeup...nikiweka makeup utavunja bank bila kuuliza swali la kijinga kama hilo.
Aiseee.....[emoji87] [emoji87]Kwa sura hii kuolewa utasubir kdgo
Teh,mzee mwenzangu hupitwi na fursaKwambaaaali nimeanza kuiona opportunity....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Hupati kitu hapo!Kwambaaaali nimeanza kuiona opportunity....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Nisahau nini mkuu..[emoji47] [emoji47]sahau
komaa dingii si unaona mtoto anataka "mkwaruaji"Ohhooo.....[emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mmh ushaajiri wewe kama wewe vijana wangapi ktk shirika lakoni kosa lao kwa kutozungusha cv...mbona ndani miezi 4 iliyopita mie nimepokea cv karibu 6 na kuzirecommend??? HAWAPELEKI MAOMBI YA KAZI halafu wanabaki kulilia hawana ajira
Sawasawa...24, pale St. magareth academy, pritoria...msouth mmoja mjinga alinibikiri kijinga kweli.
Nawapigia michepuo vijana walio jawa na meno midomoni...[emoji13] [emoji13] [emoji13]Teh,mzee mwenzangu hupitwi na fursa
Hupati kitu hapo!
Skuizi nilisha mrudia Mungu, matendo yote machafu nilisha pishana nayo...[emoji2] [emoji2]komaa dingii si unaona mtoto anataka "mkwaruaji"
Sipatanagi na mademu wanaojifanya wazungu mara Dady iv mara Cjui nn ujinga mtupuDuhh...[emoji15] [emoji15]
Aiseee.....[emoji87] [emoji87]
Niponae huku...[emoji12] [emoji12]mbona kimyaaa
Nice [emoji39]boss lady mekapu huwa siwezi kwakeli mwe!!!
Kausha mkuu, wahenga tunasemaga..... Hili nalo litapita..[emoji2] [emoji2]Sipatanagi na mademu wanaojifanya wazungu mara Dady iv mara Cjui nn ujinga mtupu
n yule anayetumia old school techniques za kumshawishi mwanake k.v. kumuonyesha u jentlomani ulipitilizaMwanaume mpumbavu hukoje kwako!?
Na muelewa yukoje!
DJ sepetu
nishasalitiwa na nikajua kupitia mashosti wangu wa karibu na kupitia paid app ya playstoreUshawahi msaliti mpenzi wako!?
Wewe ushasalitiwa Na ukajua?
DJ sepetu