The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Yaweza kuwa sababu nyingine?
Ya kukaa mbali na hausigeli ili mama mwenye nyumba asianze kukonecti them dots
Ukikaa mbali na h/g basi unakua umekaa karibu na eliza....and vice versa....
Y???
kwa sababu bado sijaelewa anaenda wapi.........
Heheheheeee......
Get a closer look AD....closer..closer!
mmmhhhh senks nimempa..
na nimechoka kuisoma..
ngoja ni lale kesho naidamkia..lol
Bado hujaonana nae tuuu???
nimechanganyikiwa....:A S-confused1:
Good...and i luv ur beautiful black eyes....dry!
Kumbe uko huku? Nlikuwa nakutafuta siku nzima.
Unanitisha...what?
Kujificha muhimu saa nyingine
Piiiiii!!!! offside.Hata kwa marafiki zako uliowatunuku?
Piiiiii!!!! offside.
......daaah mpwa hapa imenibidi nigonge key board tu ....LOL....! made my day aisee....!hheee.....punguza hisia hizo...afu unajua nini Husninyo...usiteme Big G kwa karanga za kuonjeshwa...
....heri mm thija thema......kwani anatafutwa?Kimey umekimbilia wapi bana? kuna mtu naona hapa chini inasoma nasikia iko moro bana we ushawahi mwona? (next level)