Husninyo nakuja.......nipokee tafadhali

Yaani humu JF kweli kuna mambo!!! yaani nimecheka na hii thread!! Thanks for making my night! Usku mwema kwa wale ambao ni usku kwao!
 
Klorokwini si nilisema haya ushatoka hivyo,spanish lady hoi taabani lol.
acha nikanunue raba mpya ya kuendea dodoma, yule aflodenzi malizana nae tu wewe na ze finest. am out of zat kompetishen bana.
 

picha la kichina jeti lii anatembea juu ya maji
 
hii post imewatia wivu mpaka ma internet providers, yaani gafla wamenikatia inteneti connection. hapa natumia imejensi tu. nakuja bana huyu kaizer mpotezee tu, mwambie bunge limehairishwa.

mmmh!
Wasije wakaunguza na hicho ki pc.
Kaizer nishampotezea kwanza nahisi kama babu yangu mjomba ake shangazi yake mama ake mdogo bibi.
 
mmmh!
Wasije wakaunguza na hicho ki pc.
Kaizer nishampotezea kwanza nahisi kama babu yangu mjomba ake shangazi yake mama ake mdogo bibi.
halaf naskia kafanana na king majuto, mimi hautoregret kabisa yaani, hapa kijijini wananiita tom kruz.
 
picha la kichina jeti lii anatembea juu ya maji
hehe dah kamanda acha nilog out mida za kwenda kulinda mabanda ya kuku hizi. hili tatizo la wizi wa kuku vijijini linatunyima hata muda wa kuwapa mimba wake zetu. aaarggh. acha nikaombe uraia msumbiji bana.
 
hehe dah kamanda acha nilog out mida za kwenda kulinda mabanda ya kuku hizi. hili tatizo la wizi wa kuku vijijini linatunyima hata muda wa kuwapa mimba wake zetu. aaarggh. acha nikaombe uraia msumbiji bana.

mi mwenyewe nina shuka la kimasai nimetoka kurudisha mbuzi....kuna jirani yangu mwanga sana katuma kuku kuiba mbuzi
 
halaf naskia kafanana na king majuto, mimi hautoregret kabisa yaani, hapa kijijini wananiita tom kruz.
Tom kruz tena lol! unajuwa kwanini thanked zako zinazidi 40% ? ni kwasababu unatuchekesha sana hapa.
 
Hus naomba kesho nikulipie internet cafe ili uweze kulipa deni lako la thanks hapa.

ooh uporoto wangu. Ahsante kwa kunikumbusha.
Kesho hadi kufikia mida hii zitakuwa zishaongezeka. Sawa eeh?
 
niume sikio mie tu za kaizer ngapi?

haaa jamani.
Hamna hata moja. Hata ingekuwepo nisingesema. Si unajua tena mambo ya chumbani yanaishia chumbani.
Mbona una dadisi sana? Unanitisha ati.
 
haaa jamani.
Hamna hata moja. Hata ingekuwepo nisingesema. Si unajua tena mambo ya chumbani yanaishia chumbani.
Mbona una dadisi sana? Unanitisha ati.

huwezi jua labda nataka ku declare interest
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…