Nimecheka mpaka nikalia eti Bashe alikuwa Ana andika vyombo vya ulinzi vichunguzwe hasa Tiss kwa mnyetishaji alie nipa hili drip anasema watu walikuwa wanamuona tangu anapanga wazo na mpaka alipofika. Watu walikuwa wanamchora na kumpa credit aandike ule mukatasari ambao uwenda ulipofika ofisi fulani wali ushread bila hata kusoma. Na inaonekana jamaa baada yakuona kweli jamaa wamepiga cool akatafuta sehem pakwenda kusema ili taarifa ifike kwa haraka na serikali ipanic.
Bashe pole sana kaka serikali haitishwi na simple like that. Jamaa wakasema acha aseme anachofikiri lakini pia hatojibiwa. Jamaa akatoka apovu ila nyuma ya pazia wameuacha na panic mwenyewe maana inahuzunisha. Ina maana Bashe hakujuwa wanamsukumia motoni na kisha ajikute mwenyewe? Hhehehhe
Kiufupi hatojibiwa na wenye akili tulisema hatojibiwa ila moderator mkafuta sasa amejibiwa?
Huko bungeni sijuwi hata kama utapata nafasi kuandikwa umepokelewa nahisi...... Nakaa kimya.
Bashe tafakari wanao kutuma. Usalama wetu sio kama wa somalia au ruwanda ama burundi Tz tupo level nyingine my dear. Pole sana
Bashe pole sana kaka serikali haitishwi na simple like that. Jamaa wakasema acha aseme anachofikiri lakini pia hatojibiwa. Jamaa akatoka apovu ila nyuma ya pazia wameuacha na panic mwenyewe maana inahuzunisha. Ina maana Bashe hakujuwa wanamsukumia motoni na kisha ajikute mwenyewe? Hhehehhe
Kiufupi hatojibiwa na wenye akili tulisema hatojibiwa ila moderator mkafuta sasa amejibiwa?
Huko bungeni sijuwi hata kama utapata nafasi kuandikwa umepokelewa nahisi...... Nakaa kimya.
Bashe tafakari wanao kutuma. Usalama wetu sio kama wa somalia au ruwanda ama burundi Tz tupo level nyingine my dear. Pole sana