Hussein Bashe: Hatutapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi wa Pamba Kisesa

SSi TAZ
Nafikiri hapa muheshimiwa kateleza. Kipindi hiki ni kipindi ambacho wapiga kura wanahitaji kubembelezwa kuliko kipindi chochote. Sasa tunaekekea kwenye uchaguzi au CCM hawana mpango na kura za wana Kisesa? 🤔
IiBa, hata msipowapigia!Wat
Nafikiri hapa muheshimiwa kateleza. Kipindi hiki ni kipindi ambacho wapiga kura wanahitaji kubembelezwa kuliko kipindi chochote. Sasa tunaekekea kwenye uchaguzi au CCM hawana mpango na kura za wana Kisesa? 🤔
Si wataziiba! Hawana wasiwasi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…