Hussein Bashe: Matatizo ya Wakulima hayaondolewi kwa vitisho

Hussein Bashe: Matatizo ya Wakulima hayaondolewi kwa vitisho

MANKA MUSA

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2014
Posts
924
Reaction score
1,096
Waziri wa Kilimo muda huu akiwa anahutubia katika mkutano wa hadhara mkoani Manyara amesema kuwa Wakulima matatizo yao hayaondolewi kwa kuleta vitisho bali kwa uwezo wa kushirikiana nchi yetu itapiga hatua katika maendeleo ya kilimo kwa kuwa kilimo ni Biashara.

Bashe amesema kuwa hela zinazokuja kwenye kilimo hazitakuwa za semina na warsha bali kuleta maendeleo katika ruzuku, pembejeo na kuleta unafuu wa mbegu bora.
 
Maneno meengi unatuletea njaa tu hapa nchini.
 
Bei ya mahindi yameshuka 120 kwa elf 90 kwa gunia simanjiroii
 
Back
Top Bottom