Hussein Machozi anaswa na 'mchepuko' wa kizungu, ni baada ya kumtelekeza mke wake wa Kimombasa

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304


Kama ulikuwa unajiuliza Hussen Machozi Yupo wapi baada ya kupotea kwenye Ramani ya Muziki basi leo utapata jibu hapa.

Hivi Karibuni Mwanamke mmoja wa Kimombasa alisikika kwenye vyombo vya Habari na kusema walifunga ndoa na Hussein machozi kwa Siri na baada ya ndoa Hussein Machozi akamtelekeza.

Sasa habari mpya ni kuwa Hussein Machozi Ametulia kimapenzi kwa Mzungu kwa sasa na Ameshikiliwa Kinoma kiasi cha kwamba afurukuti kwa mzungu huyo na labda ndio sababu ya kimya chake katika Muziki.

Embu Mshauri Hussen Machozi Chochote
!
 
Mbona kama huyo mwanamke ndo mwanaume
Na machozi ndio mwanamke?..yaani unashikwa na demu unalegea hivyo? Ndio maana huyu jamaa huwa anabana sana sautiiii!
 
Alud bongo 2 uko kenya life lmemshnda

Aliondoka bongo kwa mbwembwe, mara oh muziki wa bongo unafiki mwingi, mara oh nimehamia kenya kwavile sio wanafiki na watu wa huku wananipenda sana.But cha ajabu hasikiki tena,bora alivyokuwa bongo. Bora arudi nyumbani kwa Kidbway tena
 
Wasanii wanapenda mademu wakizungu ehh
 
Aliondoka bongo kwa mbwembwe, mara oh muziki wa bongo unafiki mwingi, mara oh nimehamia kenya kwavile sio wanafiki na watu wa huku wananipenda sana.But cha ajabu hasikiki tena,bora alivyokuwa bongo. Bora arudi nyumbani kwa Kidbway tena

Machozi hana mvuto ata aimbe vipi. Kwanza alivyo usoni anatia huruma.
 
Mantiki ya kujipiga hii picha ni nin?
 
Wazungu wanaokuja East Africa mbona majanga ivo....hawavutii
 
Machozi hana mvuto ata aimbe vipi. Kwanza alivyo usoni anatia huruma.

We umeniuwa kuna kipindi alikuwa anahojiwa akaanza kulia kisa jina lake halipo kwenye kuwania tuzo za kill music award! huyu jamaa mwisho wa siku atakuwa ubwabwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…