View attachment 1507848
Hussein Msopa maarufu kama 'Sheikh Sharif Majini' amechukua fomu ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Handeni Vijijini Mkoani Tanga kupitia CCM.
Hapo mtu kupigwa jini nje nje! [emoji23][emoji23][emoji23] ushindi nje nje, na ole atakaepambama nae! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]