Kwa maoni mujarabu kabisa ni bora Nd. Hussein Mwinyi akawaachia ugombezi wa Uraisi wa Zanzibar kwa maana ya kujitoa hii itakuwa fahari yake milele kwani kufanya hivyo ni kuiepusha Zanzibar na shari na dhiki zinazoinyemelea.
Kama Muislamu Mkereketwa hakuna haja ya kuzozana heshima atakayoipata ni zaidi ya yeye kuwepo ndani ya CCM,sisemi kwa kuona hafai kuwa kiongozi la hasha ,anafaa tena anafaa sana ila upepo unaovuma sio wa kutweka.
Yeye kama mpembuzi ameshalijua na asikubali kufanywa chambo cha mauaji ya Waislamu yanayotayarishwa na watu wale ambao tumewasikia wakikusudia kupiga kambi katika visiwa vya Zanzibar, huko hawaendi kuuliwa wapinzani wanakwenda kuuliwa Waislamu maana kinachosemwa sasa si kupiga kura ni kuilinda Zanzibar kama nchi na wananchi wake,
CCM wengi waliokuwa mstari wa mbele wamejitenga na Hussein Mwinyi hili halina shaka,tunasikia ya watu kuondoka anapoingia Hussein Mwinyi, hili halisaidii uislamu bali hubomoa na kutufanya tuonekane watu wa ajabu sana.
Nimjuavyo Hussein ni mtu wa dini sana tofauti na maraisi wote waliowahi kupita kwa nimuonavyo, sijui ndani ya moyo wake,rai yangu ni kujiengua na ALLAH atamlipa kubwa zaidi kuliko uraisi wa Zanzibar.
Kama Muislamu Mkereketwa hakuna haja ya kuzozana heshima atakayoipata ni zaidi ya yeye kuwepo ndani ya CCM,sisemi kwa kuona hafai kuwa kiongozi la hasha ,anafaa tena anafaa sana ila upepo unaovuma sio wa kutweka.
Yeye kama mpembuzi ameshalijua na asikubali kufanywa chambo cha mauaji ya Waislamu yanayotayarishwa na watu wale ambao tumewasikia wakikusudia kupiga kambi katika visiwa vya Zanzibar, huko hawaendi kuuliwa wapinzani wanakwenda kuuliwa Waislamu maana kinachosemwa sasa si kupiga kura ni kuilinda Zanzibar kama nchi na wananchi wake,
CCM wengi waliokuwa mstari wa mbele wamejitenga na Hussein Mwinyi hili halina shaka,tunasikia ya watu kuondoka anapoingia Hussein Mwinyi, hili halisaidii uislamu bali hubomoa na kutufanya tuonekane watu wa ajabu sana.
Nimjuavyo Hussein ni mtu wa dini sana tofauti na maraisi wote waliowahi kupita kwa nimuonavyo, sijui ndani ya moyo wake,rai yangu ni kujiengua na ALLAH atamlipa kubwa zaidi kuliko uraisi wa Zanzibar.