Kwa wanaume ambao wameshakuwa na mahusiano at least zaidi ya matatu watakuwa mashuhuda wangu hapa sababu najua kwenye hizo break ups lazima utakuwa umeshawah kukutana na haya maneno!."hutapata mwanamke atakayekupenda kama mimi"..na mara nyingi baada ya kuambiwa haya maneno hufuata matendo yaliyo kinyume kabisa,kama mwanamke kutaka kulipiza kisasi na vitisho vingine..
serioulsy wadada huwa mna maanisha nini mkisemaga hivyo coz najua wengi humu mlishajikuta kwenye situation mkasema HUTOPATA MWANAMKE ATAKAYEKUPENDA KAMA MIMI.![/QUOTE]
DAH KWELI MKUU! HAPO UMENIKUMBUHSA NA MM, NILIWAHI KUAMBIWA HIVYO NA MY EX GIRLFRIEND NA SASA NINAE MWEINGINE NA NANIPENDA KULIKO YULE WA MWANZO, ILA NAE KUNA SIKU TULIKOROFISHANA AKANIAMABIA HIVYO KUWA TUKIACHANA SIJUI KAMA NITAPATA ATAKAYENIPENDA KAMA YEYE, HATA MM SIELEWI KWA KWELI WANAMANISHA NN
Kwa wanaume ambao wameshakuwa na mahusiano at least zaidi ya matatu watakuwa mashuhuda wangu hapa sababu najua kwenye hizo break ups lazima utakuwa umeshawah kukutana na haya maneno!."hutapata mwanamke atakayekupenda kama mimi"..na mara nyingi baada ya kuambiwa haya maneno hufuata matendo yaliyo kinyume kabisa,kama mwanamke kutaka kulipiza kisasi na vitisho vingine..
serioulsy wadada huwa mna maanisha nini mkisemaga hivyo coz najua wengi humu mlishajikuta kwenye situation mkasema HUTOPATA MWANAMKE ATAKAYEKUPENDA KAMA MIMI.!
Kwa wanaume ambao wameshakuwa na mahusiano at least zaidi ya matatu watakuwa mashuhuda wangu hapa sababu najua kwenye hizo break ups lazima utakuwa umeshawah kukutana na haya maneno!."hutapata mwanamke atakayekupenda kama mimi"..na mara nyingi baada ya kuambiwa haya maneno hufuata matendo yaliyo kinyume kabisa,kama mwanamke kutaka kulipiza kisasi na vitisho vingine..
serioulsy wadada huwa mna maanisha nini mkisemaga hivyo coz najua wengi humu mlishajikuta kwenye situation mkasema HUTOPATA MWANAMKE ATAKAYEKUPENDA KAMA MIMI.![/QUOTE]
Mi nadhani hiyo ni deffence mechanism ambayo wanaituimia
DAH KWELI MKUU! HAPO UMENIKUMBUHSA NA MM, NILIWAHI KUAMBIWA HIVYO NA MY EX GIRLFRIEND NA SASA NINAE MWEINGINE NA NANIPENDA KULIKO YULE WA MWANZO, ILA NAE KUNA SIKU TULIKOROFISHANA AKANIAMABIA HIVYO KUWA TUKIACHANA SIJUI KAMA NITAPATA ATAKAYENIPENDA KAMA YEYE, HATA MM SIELEWI KWA KWELI WANAMANISHA NN
Mimi naona kuwa hiyo ni deffence mechanism ambayo huwa wanaitumia ili kukutisha usifanye maamuzi kama vile uone kuwa yeye ni namba one kwako and there will be no one but her
Sijawahi huwa nakaa kimya anarudi mwenyewe eti oh kote nilikoenda hakua kama wewe nipe nafasi sjui utajona upo eden.hahhahaha raha kweli mtu akijirudi halafu ndo humtaki tena
vp wewe hujawahi kukutana nazo hizo maneno?