Of course hutapata kama yeye!
Mimi nilishambiwa na mwanaume kauli hiyo, kimoyo moyo nikasema; "nitafurahi nisipopata atakayenipenda kama wewe".
Guys kila mtu ni unique, na kama umempata anayekupenda zaidi ya X, meaning hujapata anayekupenda kama ur X; which can be good or bad news.