Huu hapa msikiti wa Bikira Maria uliopo Dubai

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Msikiti unaitwa " Maria Mama wa Yesu" na unapatikana Dubai.

Wakristu na waislamu huwaga ni wale wale.

Ndio maana akina Yericko Nyerere wameona warudi zao kwenye dini za asili za kumuomba Mungu kupitia mababu.

As for me, I shall go with my traditional ancestral veneration.

Sifuati dini ya Mzungu wala ya mwarabu.

 
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    7.6 KB · Views: 5
  • images (1).jpeg
    10 KB · Views: 5
  • Mary-3.jpeg
    34.3 KB · Views: 2
Wazungu na waarabu wanayachora tu mazuzu ya kiafrika yanayo shupaza Shingo kupigania dini za wenyewe.
Kuukataa ukweli bado hauubadili ukweli kuwa uongo ni sawa sawa na mtu akatae hakuna kufa na wakati watu kila siku wanakufa , atheists na polytheist kama wewe mna kitu kimoja in common.

Mna bend reality iweze kufit kile mnachokiamini /kukikubali.
 
Ni umbali gani kutoka msikitini hadi makao makuu ya DPW?
 
mariam sio msikiti tu.hadi surah katika quran anayo.surah ya 19.hakuna cha ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…