Nilikuwa nafanya nao ule mchezo wa baba na mama siku nilipotahiriwa nikawa sifanyi tena eti naogopa watazaa na wao vilele walikuwa wananiogopa baada ya kutahiriwa[emoji86] [emoji86]Habari Ndug!.
Kiukweli nimekumbuka zamani sana Leo, kuna mambo ambayo nilivyokuwa mtoto mdogo niliyadhania tofauti nauhalisia wake kwakwelii. Mfano wa mambo hayo ni
1.Nilidhania kuwa Daktari huwa haugui.
2.Nilidhani kuwa Padri, huishi milele bila kufa
Hayo ni baadhi tu, nawewe kama kuna mambo uliyafikiri tofauti enzi zautoto unaweza kuongezea Ili tujikumbushe utoto wetu.
Amani kwenu!.