Revola
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 1,516
- 1,338
Aiseeeeee yani kila sehemu nowadays wanunuzi wanatongozwa kwa maneno matamu ili waandikiwe risiti ya bei tofauti na waliyonunulia inakera sana serikali yangu elekezeni nguvu kubwa kariakoo.
Mara nyingi tuu ndani ya miezi minne mfululizo nimekuwa nikienda k/koo kununua vifaa vya ndani fridge, meza, kabati, home theater, n.k marayakwanza nilinunua kabati la nguo lilikuwa linauzwa laki 3 na 60 baada ya kununua nikamwambia muuzaji naomba risiti akanivuta pembeni akaniambia naomba nikuandikie laki 2 na 20 kwenye risiti yako nikamuuliza why? Akasema ucjali we nielewe tuu nikakubali poa andika baada ya kujiuliza sana kwanini kanikatia hivii nilikosa jibu nikachukua mzigo nikasepa. mwezi uliofuata nikaenda kununua fridge ilikuwa inauzwa laki 8 na 80, nikamwambia muuzaji naomba risiti akaninong'oneza naomba nikwandikie laki sita mkuu, nikasepa hapana nataka bei yangu hiyo hiyo nikawa mkali akaogopa nikachukua nikasepa, sasa nimejikuta vitu vingi navyonunua imekuwa hivyo hivyo hawa jamaa wanaiibia serikali sana. TRA nawaomba wahusika kitengo cha ukaguzi wa maduka k/koo mwende mkaweke mtego wananasa kizembe sana hali zao ngumu kibiashara wanaegemea kwa wateja. Pia ningeomba watanzania wenzangu unapokwenda kununua bidhaa akikunong'oneza wakati wa utowaji risiti kwa bei pungufu na aliyokuandikia Kataa.
Mara nyingi tuu ndani ya miezi minne mfululizo nimekuwa nikienda k/koo kununua vifaa vya ndani fridge, meza, kabati, home theater, n.k marayakwanza nilinunua kabati la nguo lilikuwa linauzwa laki 3 na 60 baada ya kununua nikamwambia muuzaji naomba risiti akanivuta pembeni akaniambia naomba nikuandikie laki 2 na 20 kwenye risiti yako nikamuuliza why? Akasema ucjali we nielewe tuu nikakubali poa andika baada ya kujiuliza sana kwanini kanikatia hivii nilikosa jibu nikachukua mzigo nikasepa. mwezi uliofuata nikaenda kununua fridge ilikuwa inauzwa laki 8 na 80, nikamwambia muuzaji naomba risiti akaninong'oneza naomba nikwandikie laki sita mkuu, nikasepa hapana nataka bei yangu hiyo hiyo nikawa mkali akaogopa nikachukua nikasepa, sasa nimejikuta vitu vingi navyonunua imekuwa hivyo hivyo hawa jamaa wanaiibia serikali sana. TRA nawaomba wahusika kitengo cha ukaguzi wa maduka k/koo mwende mkaweke mtego wananasa kizembe sana hali zao ngumu kibiashara wanaegemea kwa wateja. Pia ningeomba watanzania wenzangu unapokwenda kununua bidhaa akikunong'oneza wakati wa utowaji risiti kwa bei pungufu na aliyokuandikia Kataa.