Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vip!
Kuna jamaa mmoja alikuwa ameajiriwa na serikali kitengo fulani.
Ila wakamfukuza kazi kwa tatizo la utoro ila hapa anasema wahuni wamemtengenezea sengwe kisa katoka masomoni akiwa na elimu zaidi ya Boss wake.
Sasa jamaa kaenda PSSSF kudai mafao yake anaambia ile ya muajiri hapewi ila atapewa ule mchango wake tu.
Sasa najiuliza zile pesa wanazotaka kumpiga jamaa angu wanazipeleka wap?
Mbona jamaa hiyo pesa ameifanyia kazi kwasababu alipewa kipindi akiwa anafanya kazi.
Kama serikali ndio imevunja mkataba naye kwanini serikali isimpatie mtu pesa zake au kuna ujambazi mle ndani?
Ila Afrika ndio maana ikaitwa bara jeusi😀
Sheria inasemaje kwa mvunja mkataba na mvunjiwa mkataba?
wadau wenye uzoefu nimshaurije huyu jamaa?
Kuna jamaa mmoja alikuwa ameajiriwa na serikali kitengo fulani.
Ila wakamfukuza kazi kwa tatizo la utoro ila hapa anasema wahuni wamemtengenezea sengwe kisa katoka masomoni akiwa na elimu zaidi ya Boss wake.
Sasa jamaa kaenda PSSSF kudai mafao yake anaambia ile ya muajiri hapewi ila atapewa ule mchango wake tu.
Sasa najiuliza zile pesa wanazotaka kumpiga jamaa angu wanazipeleka wap?
Mbona jamaa hiyo pesa ameifanyia kazi kwasababu alipewa kipindi akiwa anafanya kazi.
Kama serikali ndio imevunja mkataba naye kwanini serikali isimpatie mtu pesa zake au kuna ujambazi mle ndani?
Ila Afrika ndio maana ikaitwa bara jeusi😀
Sheria inasemaje kwa mvunja mkataba na mvunjiwa mkataba?
wadau wenye uzoefu nimshaurije huyu jamaa?