Huu mgao wa umeme kwa sasa hauvumiliki

Huu mgao wa umeme kwa sasa hauvumiliki

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Jana wamekata saa 1 asubuhi. Umerudi usiku saa sita. Saa hizi saa moja wamekata. Huu siyo mgao, ni kama tu hakuna umeme. Nafikiri serikali imeshindwa kuzalisha na kusambaza umeme. Na hata hilo Stigla halitaleta unafuu wowote kama tu gesi tuliyokuwa na matumaini nayo ambavyo haikuleta unafuu.

Itungwe sheria watu binafsi wenye uwezo wa kuzalisha na kuuza umeme wafanye hivyo. Ikiwezekana na TANESCO ivunjwe tupate mashirika ya kikanda au kimkoa. Shirika kubwa hili likifanya uzembe nchi nzima unaingia shida.

Ni upumbavu miaka nenda rudi kuteseka na ishu moja.
 
Anzisha kampeni ya kuoanda miti kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Mgao ni matokeo tu ya mabadiliko ya tabia nchi kutokana na uharibifu wa mazingira mnaoufanya.
 
Anzisha kampeni ya kuoanda miti kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Mgao ni matokeo tu ya mabadiliko ya tabia nchi kutokana na uharibifu wa mazingira mnaoufanya
Ndio maana nasemaga wewe ni mpumbavu usie na akili.

Kuna nchi zina jangwa lakini wana umeme wa uhakika.

Tanzania tukiwa na uchumi mzuri hata hayo mabadiliko ya tabia nchi hayawezi kuzuia tusiwe na Umeme wa uhakika. Issue ni pesa

Tunainua uchumi, kazi inaendeela na Umeme utakaa sawa. Umesikia wewe pimbi
 
Anzisha kampeni ya kuoanda miti kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Mgao ni matokeo tu ya mabadiliko ya tabia nchi kutokana na uharibifu wa mazingira mnaoufanya
Nikiona comments kama hizi huwa nacheka sana.Yaani tumeaminishwa uongo na sisi tunadhani ni kweli. Kweli tuna Afya ya akili, Zombies indeed.Ndio maana Wizara ya Afya imeunda kitengo cha Afya ya Akili,hii ni geresha tu,lakini tatizo hili limetengenezwa.

Gwajima aliposema watu walimshangaa,the problem is real and here with us.Yaani watu wameshikiwa akili kabisa.
 
Ndio maana nasemaga wewe ni mpumbavu usie na akili.

Kuna nchi zina jangwa lakini wana umeme wa uhakika.

Tanzania tukiwa na uchumi mzuri hata hayo mabadiliko ya tabia nchi hayawezi kuzuia tusiwe na Umeme wa uhakika. Issue ni pesa

Tunainua uchumi, kazi inaendeela na Umeme utakaa sawa. Umesikia wewe pimbi
Kwa hiyo tuendelee kuharibu mazingira kwa sababu tuna hela?
 
Uko mkoa gani wewe usitegemea hapa Dar tukose umeme kwa masaa mengi uko mikoani katavi mpate umeme masaa yote
Tena huko Katavi umeme huwa haukatiki mpaka kuwe na sababu maalum Sana. Bado hawajaungwa kwenye Grid ya Taifa. Mikoa ambayo haipo Grid ya Taifa umeme hausumbui hata kidogo.
 
Wewe nakuita mpumbavu mara nyingi sana, Tz haina uwezo wa kuzuia uharibifu wa mazingira. Utazuia Tz wasikate miti, utawezaje kuzuia Western countries wasiendeshe viwanda vyao? Au unafikiri uharibu wa mazingira ni kukata miti tu iliyopo Tz?
Kwa nini Tanzania washindwe? Nipe sababu?

Ethiopia walikuwa na ukame ila kampeni zao za upandaji miti sasa zinawapa mvua za kutosha na sasa wana chakula cha kutosha kwani Western countries wameacha kuharibu mazingira kwa viwanda vyao?

Huo upumbavu unnathibitisha hapa kuwa unao wewe
 
Nadhani Jiji la mbeya na wilaya kadhaa kama chunya zinapitia shida hii kubwa, umeme haukai kabisa
 
Huenda ni mda mwafaka wa kuuza majenereta. Namkumbuka JPM alisema kuna mchongo wa aina yake.
 
Kwa nini Tanzania washindwe? Nipe sababu?

Ethiopia walikuwa na ukame ila kampeni zao za upandaji miti sasa zinawapa mvua za kutosha na sasa wana chakula cha kutosha kwani Western countries wameacha kuharibu mazingira kwa viwanda vyao?

Huo upumbavu unnathibitisha hapa kuwa unao wewe
Umeona ulivyo huna akili? Hao ethipia huo ukame umeanza lini na hiyo miti wameanza kupanda lini?
 
Mama ana utela mwingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120]
IMG_0235.jpg
 
Jana wamekata saa 1 asubuhi. Umerudi usiku saa sita. Saa hizi saa moja wamekata. Huu siyo mgao, ni kama tu hakuna umeme. Nafikiri serikali imeshindwa kuzalisha na kusambaza umeme. Na hata hilo Stigla halitaleta unafuu wowote kama tu gesi tuliyokuwa na matumaini nayo ambavyo haikuleta unafuu.

Itungwe sheria watu binafsi wenye uwezo wa kuzalisha na kuuza umeme wafanye hivyo. Ikiwezekana na TANESCO ivunjwe tupate mashirika ya kikanda au kimkoa. Shirika kubwa hili likifanya uzembe nchi nzima unaingia shida.

Ni upumbavu miaka nenda rudi kuteseka na ishu moja.
Tuko kama Ukraine na Maharage wa tanesco katuambia hali hii itaendelea hadi uchaguzi mkuu wa 2025.
 
Back
Top Bottom