HaTa Mwanza ni mgao kila kukichaHabari za majukumu!
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.
Nimewasilisha.
Tanesco hawashindwi kusema mgao unasababishwa na vita ya Ukraine, ngoj tuwasubiri hapa tuwasikieHabari za majukumu!
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.
Nimewasilisha.
Magufuli kafaSukuma gang mnaisoma namba kweri kweri
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2139561
tulia mkuu, si uliambiwa kipindi cha JPM motambo haikufanyiwa marekebisho au umesahauHabari za majukumu!
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.
Nimewasilisha.
Kila sehemu ya nchiHabari za majukumu!
Kuna mgao unaendelea hapa Arusha, Umeme unakatwa asubuhi unarudi saa moja kasoro usiku. Tanesco kwanini wasituambie shida ni nini?
Mlituaminisha mgao uliopita ni sababu ya kufanya maintenance, ni juzi tu mkatangaza maintenances zimeisha sasa hii ni nini?Nadhani kuna mahali hapako sawa sasa, maana hatuelewi nini tatizo.
Nimewasilisha.
ha ha haTanesco hawashindwi kusema mgao unasababishwa na vita ya Ukraine, ngoj tuwasubiri hapa tuwasikie