Mama shikamoo,i love you🥰Shida ni januari
Tukimsema vibaya Makamba kwa hii kadhia,wanasema hatupendi maendeleo yake kwa sababu ya wivu, hatumpendi pia rais aliyemteua!Makamba anatuambia matengenezo
Garasa, ila kwenye upigaji yuko vizuriShida ninuwezo Mdogo Wa kijana yule!
MbeyaKaka nyinyi mko wapi?mkoa gani
Kabisa yule Makamba ana sound haziishi halafu akiulizwa anakuwa mkali eti anaonewa wivu kwa cheo chakeTanesco hawashindwi kusema mgao unasababishwa na vita ya Ukraine, ngoj tuwasubiri hapa tuwasikie