Hakika hakika ni lazima tuwe na tahadhari kubwa kama si angalizo .Wiki iliyopita mgogoro wa ardhi kati ya Jeshi la kujenga Taifa na wananchi umezuka hapa wilayani,
maswali ya kujiuliza
Hawa wananchi awamu hii wataliogopa jeshi na kukubali matokeo kwamba wamedhurumiwa ama ndiyo watawavaa?
ni ni ni hatima ya hawa watanzania wanaolala nje kwa sasa?