SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Huu msemo unatumika sana pale mtu anapotaka kuweka taswira ya kuponda raha/maisha kwa kusema 'anakula bata'.
Je, katika utamaduni wetu sisi watanzania bata ana nafasi gani? Kwa nini haikuwa kuku? =Mwenzetu kafanikiwa sana, anakula kuku tu. Au hata mbuzi = Yuko majuu bwana, anatafuna mbuzi.
Nauliza: Kwa nini bata? Tena kwenye huo msemo wanaongeza neno mrija. = 'Anakula bata kwa mrija' Bata ni nyama au kinywaji?
Naomba msaada wadau wa lugha juu ya huo msemo.
Je, katika utamaduni wetu sisi watanzania bata ana nafasi gani? Kwa nini haikuwa kuku? =Mwenzetu kafanikiwa sana, anakula kuku tu. Au hata mbuzi = Yuko majuu bwana, anatafuna mbuzi.
Nauliza: Kwa nini bata? Tena kwenye huo msemo wanaongeza neno mrija. = 'Anakula bata kwa mrija' Bata ni nyama au kinywaji?
Naomba msaada wadau wa lugha juu ya huo msemo.