only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,527
Kuna msemo ulivuma sana siku za karibuni hasa baada ya Cameron kutoa order ya ushoga....na hii inasemwa kuwa iliwahi kusemwa na JK wakti anafungua bunge baada ya uchaguzi wa 2010 "UKITAKA KULA SHARTI NA WEWE ULIWE" wakuu JE,maana ya msemo huu nini?