Huu msemo Waliosoma Cuba una maana gani?

Huu msemo Waliosoma Cuba una maana gani?

maana yake ni wale wanaoelewa mambo yalivyo au yanayoendelea haata kama yamefichwa au yamegeuzwa maana yake, so ni ile hali tu ya kuelewa jambo ambalo wengine hawawez kulielewa kwa haraka, ni kama kujua puzzle au kufungua code.... wana jf wote tumesoma kubwa ndio mana ni home of G.THINKERS
mfano, stori za mgao wa umeme ni visingizio kama sijui service, sijui ukame, sijui bwawa la nyerere, zote hz ni fix, tuliosoma cuba kama kina magu tunajua tatizo lilipo, na sio fix zinazobadilika kila siku.
 
Imetrend sana hasa pale mtu anapopost kitu cha mafumbo alafu kuna watu wakaelewa au clip imeonyesha kitu trick baadhi wakaelewa hao ndo waliosoma cuba, mfano unamwona mshkaji katoka kuamka alafu mkono kaweka mfukoni apo tuliosoma cuba tushaelewa
 
maana yake ni wale wanaoelewa mambo yalivyo au yanayoendelea haata kama yamefichwa au yamegeuzwa maana yake, so ni ile hali tu ya kuelewa jambo ambalo wengine hawawez kulielewa kwa haraka, ni kama kujua puzzle au kufungua code.... wana jf wote tumesoma kubwa ndio mana ni home of G.THINKERS
mfano, stori za mgao wa umeme ni visingizio kama sijui service, sijui ukame, sijui bwawa la nyerere, zote hz ni fix, tuliosoma cuba kama kina magu tunajua tatizo lilipo, na sio fix zinazobadilika kila siku.
Ina uhusiano gani na kusoma Cuba??
 
Cuba ilikua moja ya majiko ya wakomunisti kupika vichwa vinavyotokea kwenye nchi za kijamaa kama Tanzania

Wengi wa vipanga wetu walienda kupata shahada mbalimbali kutokea Cuba mfano za Utabibu na nyinginezo

Cuba ilikua moja ya nchi ya kimkakati sana
wazee wa 92 pia course yako ilikua inatamatishwa kwa kwenda kumalizia Cuba

Hii ni asili ya usemi wa Usomi wa cuba uliasisiwa hapo

Vijana wakisema Umesoma cuba wanamansha unaweza kusoma lugha ya kificho ukaelewa
 
Back
Top Bottom