Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Utekaji na kupotea kwa watoto kunakotokea kwa sasa kuna viashiria vya mikakati ya kundi la watu wenye nia ya kuondoa utawala fulani madarakani.
Hali kama hii mara nyingi umalizika kwa kuondolewa waziri au IGP ofisini. Si kwa sababu siyo wachapa kazi bali ni kurejesha imani ya dola kama wanavyojiuzulu wanausalama wengine Duniani.
Kwa maoni yako nini IGP na Waziri wa Mambo ya ndani wafanye kukwepa shinikizo la watekaji? Wananchi wanapoendelea kusindikiza watoto wao shule na kuripoti case kila siku amani itakuwepo?
Leo inasambaa clip ya mtoto mdogo wa miaka 16 aliyekamatwa akiteka mtoto na anadai tayari mtoto mwingine ameshapelekwa kwa kiongozi wao. Je wananchi wanaweza kuamini huyo anayewatuma ni mtu wa kawaida asiye na connections?
Lengo la watekaji ni nn?
Hali kama hii mara nyingi umalizika kwa kuondolewa waziri au IGP ofisini. Si kwa sababu siyo wachapa kazi bali ni kurejesha imani ya dola kama wanavyojiuzulu wanausalama wengine Duniani.
Kwa maoni yako nini IGP na Waziri wa Mambo ya ndani wafanye kukwepa shinikizo la watekaji? Wananchi wanapoendelea kusindikiza watoto wao shule na kuripoti case kila siku amani itakuwepo?
Leo inasambaa clip ya mtoto mdogo wa miaka 16 aliyekamatwa akiteka mtoto na anadai tayari mtoto mwingine ameshapelekwa kwa kiongozi wao. Je wananchi wanaweza kuamini huyo anayewatuma ni mtu wa kawaida asiye na connections?
Lengo la watekaji ni nn?