FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwahiyo niukate sio, okayKama ulikuwa unasubiri maua kwa miaka yote hiyo 20 kwanini uuze sasa
Uza upate hela mzee. Kuliko kukata bureKwahiyo niukate sio, okay
Hapo sawa asee maana mi naona makuti ya mnazi tuu.Palikuwa na ukungu.., [emoji28][emoji23]
una kazi gani mkuu? naiona sana hii miti na huwa naichukulia poa, maporini huko ktk harakati za kuchimba dawa kwa sisi wasafiri kafiri. kama ni deal tufahamishane fursa
una kazi gani mkuu? naiona sana hii miti na huwa naichukulia poa, maporini huko ktk harakati za kuchimba dawa kwa sisi wasafiri kafiri. kama ni deal tufahamishane fursa
Kuna nchi nimeisahau wanaasili kama wachina hiyo inapandwa Kwa biashara kama ilivyo kwetu korosho, pamba nkHapo sawa asee maana mi naona makuti ya mnazi tuu.
Hivi kwani huo una faida gani mana hata matunda hautoi bora ule mwingine upo kama huo huo unakiwa bapa na vi miiba unatoa matunda ya njano na yanaliwa