Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kuna mkuu humu jana ameniambia kuwa huu mti(Palm) kwa kiswahili unaitwa Mkoche(Kisayansi Hyphaene Coriacea) Unapatikana pwani ya Afrika Mashariki kutoka Somalia hadi South Afrika na Namibia. Huko kusini ya Afrika unajulikana zaidi kama Ilala.
Kuna uwezekano mkubwa jina Mikocheni limetokana na uwepo wa miti hii eneo hilo.
Kijerumani mmea huu unaitwa Ilala pia. Kuna uwezekano mkubwa Wajerumani walilipata jina hili walipokuwa huko Namibia. Walipofika Dar na kuikuta miti hiyo wakapaita mahali hapo Ilala.
BTW: Mmea huu unavutia sana na una matunda(Makoche) yanayoliwa.
Kuna uwezekano mkubwa jina Mikocheni limetokana na uwepo wa miti hii eneo hilo.
Kijerumani mmea huu unaitwa Ilala pia. Kuna uwezekano mkubwa Wajerumani walilipata jina hili walipokuwa huko Namibia. Walipofika Dar na kuikuta miti hiyo wakapaita mahali hapo Ilala.
BTW: Mmea huu unavutia sana na una matunda(Makoche) yanayoliwa.